Ni yupi yupo karibu na wananchi kati ya hawa wawili?

ALEX PETER

Senior Member
Jan 17, 2012
117
23
146408129.jpg 929743331.jpg

dr slaa akiwa lindi wakati mwenezi wa magamba akiwa songea
 
Magamba bana..... eti yamemwekea kanga kama zulia.

Hapo ni mlo mmoja tu kwa siku.

Sijui nani kawaloga hawa watu asee. Mtu anakutukania mama yako, we unampa shkamoo.

Malabuku!!
 
Yaani magamba wanakanyaga pesa!! kuonyesha ni jinsi gani walivyo mafisadi.. Ina maana hawajui kwamba nchi hii wapo watu ambao hawana kipande cha nguo cha kujisitiri.? Kufuru nyingine bana! yaani vitenge vinageuzwa carpet!!!
 
Wanapewa kofia na khanga wanasahau shida zao za barabara na maji dawa ya magamba imeshapatikana ni m4c ngoja ifike huko
 
Mkuu picha zenyewe zinajielezea ni yupi yupo karibu na wananchi.Hawa mama zetu sasa huku wanakokwenda na huyu Nape inabidi kujiuliza mara mbili
 
mukubwa picha zinajieleza...

ila nafikiri magamba huwa wakikaa kwenye vikao vyao huwa wanatudharau sana sie watanzania
 
Yaani magamba wanakanyaga pesa!! kuonyesha ni jinsi gani walivyo mafisadi.. Ina maana hawajui kwamba nchi hii wapo watu ambao hawana kipande cha nguo cha kujisitiri.? Kufuru nyingine bana! yaani vitenge vinageuzwa carpet!!!

Ukweli hapa Nape alichemka,c vizuri kufanya hivi hata kidogo,haileti picha nzuri
 
maswali menginee bwana, we nape si ameshindwa hata kwa mgombea wa ubunge ccm 2010 ( hawa ng'humbi) ndo aje kushindana na dr. anayemwita dr. feki?
 
View attachment 55870View attachment 55871

dr slaa akiwa lindi wakati mwenezi wa magamba akiwa songea

msipende kitu kwa kupitiliza angalieni picture imepigwa wapi na mila / desturi za watu wa hapo zikoje , nnacho kiona hapo ni athari za dini songea wamempokea nape kama mkombozi wakimnukuu issa bin mariam alivyopokelewa akiingia yerusalemu ni desturi imejengeka kwa nduguzetu hawa na huko kusini hali ni hiyo hiyo tunafahamu sote sisi waislamu mambo yetu twayaendeshaje pale tujadilipo jambo muhimu , kula na kadharika ... sisi hukaa chini japo sijui muktadha halisi wa hiyo pic ilipigwa wakati gani maana naona wanaoonekana kwa nyuma ya hiyo picha nikama waliokuja kukshangaa katibu slaa wakati kwenye picha ya mwenezi nape wote wanashiriki kwenye tukio husika
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom