Fatma Bawazir
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 492
- 180
Ni yupi mshamba zaidi kati ya hawa wafuatao.
1)Aliekwenda dukani kuulizia blootuth.
2)Aliekula hoteli vyombo akaosha.
3)Alienunua chokostiki akaitia kwenye mkoba akachukua zawadi kijijini.
4)Aliemuamkia mtu alieko kwenye TV.
5)Aliechukua pande la barafu na kuliangalia wapi linavuja?
1)Aliekwenda dukani kuulizia blootuth.
2)Aliekula hoteli vyombo akaosha.
3)Alienunua chokostiki akaitia kwenye mkoba akachukua zawadi kijijini.
4)Aliemuamkia mtu alieko kwenye TV.
5)Aliechukua pande la barafu na kuliangalia wapi linavuja?