Jamani tukubali au tukatae mda umefika watu inatakiwa tuwekane wazi kwajinsi mambo yalivyo badilika wazanzibar wamegundua kuwa wao ni watumwa wa tanganyika wameamua kushituka lakini watanganyika wameshindwa kukubali kuwa wao ni wakoloni na wanataka waendelee kuwa wakoloni katika koloni lao la zanzibar bora tuwaachie awa watumwa wetu wajitawale kwani wamesha shituka kwanza awana faida na sisi watanganyika bora wachape mwendo.