Mtaalaamuna
Member
- Feb 19, 2011
- 21
- 0
Bado naendelea kufikiri jambo lililomfanya mkuu wa nchi kutangaza kuwa anataka kuondolewa madarakani kwa nguvu.
Si jambo la kumwingia mtu akilini kwa Rais kusema jambo zito kama hilo la kuwatisha wananchi kuwa nchi inataka kupinduliwa, ukizingatia kuna vyombo mbalimbali vinavyofanya kazi zake kiufasaha na umakini, na kama ndivyo basi hizo njama za kupindua serikali zingehesabika ni UHAINI na si vinginevyo.
Sidhani pia kama Mtoto akiona baba yake analewa kila siku ilhali yeye hana madaftari ya shule, hajalipiwa ada nk, akimshinikiza baba yake kuwa amlipie ada na kununua vifaa vya shule anakuwa amentusi na kumsaliti.
Ninacho kiona ni WOGA na KUTOJIAMINI kwa Mkuu wa nchi
Si jambo la kumwingia mtu akilini kwa Rais kusema jambo zito kama hilo la kuwatisha wananchi kuwa nchi inataka kupinduliwa, ukizingatia kuna vyombo mbalimbali vinavyofanya kazi zake kiufasaha na umakini, na kama ndivyo basi hizo njama za kupindua serikali zingehesabika ni UHAINI na si vinginevyo.
Sidhani pia kama Mtoto akiona baba yake analewa kila siku ilhali yeye hana madaftari ya shule, hajalipiwa ada nk, akimshinikiza baba yake kuwa amlipie ada na kununua vifaa vya shule anakuwa amentusi na kumsaliti.
Ninacho kiona ni WOGA na KUTOJIAMINI kwa Mkuu wa nchi