Sumbalawinyo
JF-Expert Member
- Sep 22, 2009
- 1,282
- 247
Nakumbuka ni Jambo forums na ze utamu ndio website pekee zilizowahi kufungiwa hapa nchini kwetu.
Kimaadili, kimuonekano na kimaslahi ya taifa jambo forums ilikuwa very positive kwa mweleko wa Taifa letu ukiilinganisha na ze utamu.
je kuna website gani zaidi ya hizo mbili zilizowahi kufungiwa hapa Tanzania?
Kimaadili, kimuonekano na kimaslahi ya taifa jambo forums ilikuwa very positive kwa mweleko wa Taifa letu ukiilinganisha na ze utamu.
je kuna website gani zaidi ya hizo mbili zilizowahi kufungiwa hapa Tanzania?