Hekima Ufunuo
JF-Expert Member
- May 28, 2009
- 220
- 11
Leo nilipoingia humu, nilitaabika kidogo kwani pass yangu ilikuwa inagoma kwa sababu sijaingia siku nyingi.
Shida yangu ni hawa watu walioingia humu wakati ni Vichwa rungu. WANAACHA AKILI NYUMBANI WANAKUJA JF. sijui kufanya nini? Vile vitu vizito humu siku hizi hamna tena.
Shida yangu ni hawa watu walioingia humu wakati ni Vichwa rungu. WANAACHA AKILI NYUMBANI WANAKUJA JF. sijui kufanya nini? Vile vitu vizito humu siku hizi hamna tena.