Kishongo
JF-Expert Member
- May 4, 2010
- 932
- 64
Leo Spika ametangaza kuwa Waziri Mkuu na Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni wana udhuru wa kutohudhuria kikao cha asubuhi.
Waziri Mkuu alikaimu madaraka yake kwa Shamsi Vuai Nahodha.
Mbowe alikaimu kazi zake kama Kiongozi wa Upinzani kwa Mbunge Vincent Nyerere.
Haiingiii akilini kwa Mbowe kumkabidhi Nyerere wakati kuna Naibu Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni Mhe Zitto Kabwe.
Hii inaashiria kuwa wawili hawa hawaivi, au pengine tuseme mambo si shwari katika uongozi wa juu wa Chadema.
Tusishangae kuona anguko la ghafla la Chadema kutokana na ukabila na ubinafsi wa viongozi wa juu.
Tz bado hakijapatikana chama makini cha upinzani kwani Chadema ni kama Kampuni ya Kifamilia.
Waziri Mkuu alikaimu madaraka yake kwa Shamsi Vuai Nahodha.
Mbowe alikaimu kazi zake kama Kiongozi wa Upinzani kwa Mbunge Vincent Nyerere.
Haiingiii akilini kwa Mbowe kumkabidhi Nyerere wakati kuna Naibu Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni Mhe Zitto Kabwe.
Hii inaashiria kuwa wawili hawa hawaivi, au pengine tuseme mambo si shwari katika uongozi wa juu wa Chadema.
Tusishangae kuona anguko la ghafla la Chadema kutokana na ukabila na ubinafsi wa viongozi wa juu.
Tz bado hakijapatikana chama makini cha upinzani kwani Chadema ni kama Kampuni ya Kifamilia.