Ni wasaidizi gani IKULU wanaosababisha Rais Kikwete aonekane kituko katika jamii?

Kuna Mtu mmoja anaitwa YUSUPH MAKAMBA,ambaye ni katibu wa chama twawala,nadhani anatoa ushauri mbaya kwa MWENYEKITI wake wa hiki chama kuhusu namna chma kinavyopasawa kuendesha nchi
Ushauri utabaki kuwa ushauri tu, ni busara ya wewe unayeshauriwa kuamua ama kukubali au kuukataa ushauri wowote unaopewa. Yeye mwenyewe amesema ukiambiwa jambo changanya na akili zako kwa nini yeye limshinde na wakati huo huo ni hodari wa kushauri wenzake?

Kifupi tu ni kwamba busara ya rais wetu si kitu cha kujivunia kama taifa.
 
Nahisi hawa wengine tutawaonea tu, ni yeye mwenyewe anayekurupuka kutoa matamko bila sufficient reasons!
 
Kwa mujibu wa Martin Shigela, Kikwete is Mr. Perfect; isipokuwa anaangushwa na inconsistency ya wasaidizi wake.

Karibuni Jamvini.
 
aliyechaguliwa na wananchi (kwa kuchakachua kura) ni muungwana. sioni suala la wasaidizi wake ambao ni yeye pekee anawachagua, linakujaje janvini. nadhani agenda ya kulaumu wasaidizi inaletwa kumkwepesha rais lawama ambazo ni yeye pekee anastaili kuzibeba kwa mambo mengi anayofanya ovyo ovyo.
macinkus
 
anaangushwa na wasaidizi wake kivipi,kwani yy hana akili za kutambua mabaya na mema,he is hopeless leader ever seen in this country
 
anaangushwa na wasaidizi wake kivipi,kwani yy hana akili za kutambua mabaya na mema,he is hopeless leader ever seen in this country

Jamani anayeongea maneno kama hayo tumuangalie kwa macho yalionyooka na he/ they must be ****ing around with our instincts, je w/anasahau kwamba our president ni kama mbayu wayu?
 

Mimi naona wote hawako consistency

Kwanza kabisa Kikwete mwenyewe hayuko consistency kwenye uteuzi wake maana anateua kwa vigezo vya kubebana na kujuana kunakopelekea kutekelezeana matakwa kadhaa

Incoststency ya wateule wake inatokana na kukanganywa kutakiwa kutekeleza kwa shurti yale yasiyowafaa. Kwa mfano mimi naamini Ngeleja ni ka mbuzi tu kanakomfuata mkuu wake aliempa kazi..hawezi kwenda kinyume nae. Sasa anapotekeleza matakwa ya aliemteua na maswahiba wake ndio tunamuona hayuko consistency..

Kikwete hayuko consisstency na kinachowafanya wasaidizi wake wasiwe consistency ni kwa sababu yeye hayuko consistency

 
Kwa mujibu wa Martin Shigela, Kikwete is Mr. Perfect; isipokuwa anaangushwa na inconsistency ya wasaidizi wake.

Karibuni Jamvini.

Maneno ya shigela hayana maana na hiyo ndiyo staili ya kuficha udhaifu wa kikwete. Sijui ni lini sisiem itaacha kumfunikafunika kiwete! Watanzania tulimchagua yeye kama kikwete hatukuchagua wasaidizi wake. Kama ameteua wasaidizi hovyo, basi kosa ni lake. Watanzania sasa tumegundua kwamba hata kikwete mwenyewe ni 'mweupe'. Pamoja na udhaifu wake mwingine lakini mbona mwenzie nkapa alikuwa na msimamo kwenye mambo ya msingi!!
 
Kwa mujibu wa Martin Shigela, Kikwete is Mr. Perfect; isipokuwa anaangushwa na inconsistency ya wasaidizi wake.

Karibuni Jamvini.

Wasaidizi anachaguliwa na nani? Yeye ndiye mtu ambaye watanzania wamemkabidhi jukumu la kuongoza na hivyo basi kama kuna mtu anamkwamisha, anao uwezo wa kumbadilisha jinsi awezavyo ili kuwezesha mambo yaende. Martin Shigela anasema vitu bila kufikiria maana naona anataka kuchanganya mambo yao ya chama na jukumu kubwa la Raisi kuwatumikia watanzania. Kikwete hana namna ya kukwepa lawama kutokana na lolote ambalo wasaidizi wake wanalifanya maana ni yeye ndiye anayewachagua na naamini anawajua vizuri sana.
 
Ndugu zangu,

Nimeamua nianzishe thread kuonyesha jinsi ninavyokereheka ninaposikia kauli fulani fulani wakati watu wanapojadili uwezo wa kikwete. Utasikia watu wanasema ''tatizo la rais wetu ni wasaidizi wake. Hao ndiyo wanaomwangusha''. Hii kauli jamani inanitia kichefuchefu sana. Hivi kama tatizo ni wasaidizi wake anashindwaje kuchukua hatua stahili??? Mimi naona kikwete mwenyewe nae ni kilaza tu asiyeweza kutambua hata wanaomsaidia na wasiomsaidia. Lazima tuwe wakweli jamani tusifichefiche, kikwete ni mweupe tena sana ndiyo maana nchi inakwenda hovyo hovyo!!
 
you have spoken my mind ndugu,
Be blessed.
TATIZO NAMBA MMOJA NCHI HII KWA SASA NI jakaya khalfan Mrisho kikwete.
 
JK is a blank-mind - just one bamboozle, unfortunately Tanzania we'll have for the next four years. He's just one President that un/fortunately will end up with no legacy - If it's a see saw, mabaya ya JK yame-outweight mazuri...... Hana cha kukumbukwa.
 
you have spoken my mind ndugu,
Be blessed.
TATIZO NAMBA MMOJA NCHI HII KWA SASA NI jakaya khalfan Mrisho kikwete.

Hilo nililobold hapo juu ndio root problem ya hapa tulipofika kama nchi. Huo mfumuko wa bei, ufisadi uliokithiri, fractured state, ukosefu wa maadili, mabomu (mbagala, gongolamboto na mengine yajayo), zero za kumwaga form iv, rushwa iliyokithiri maeneo yote, mgao wa umeme, n.k n.k ni dalili (symptoms) tu la tatizo tulilonalo la kiuongozi Tanzania.

Na katika hili simlaumu jk hata kidogo kwani huo ndio uwezo wake, ninawalaumu watanzania kwani kumlaumu jk ni sawa na kuilaumu canter ya 3.5 tons iliyoshindwa kutembea hata kama ina rangi nzuri vipi (urais sio sura) baada ya kubebeshwa container la 40 tons. Wa kulaumiwa hapa ni yule aliyeload 40 tons kwenye canter ya 3.5 tons, hili linaapply hapa kwetu pia, watanzania ndio wa kulaumiwa na si mwingine.
 
Ndugu zangu,

Nimeamua nianzishe thread kuonyesha jinsi ninavyokereheka ninaposikia kauli fulani fulani wakati watu wanapojadili uwezo wa kikwete. Utasikia watu wanasema ''tatizo la rais wetu ni wasaidizi wake. Hao ndiyo wanaomwangusha''. Hii kauli jamani inanitia kichefuchefu sana. Hivi kama tatizo ni wasaidizi wake anashindwaje kuchukua hatua stahili??? Mimi naona kikwete mwenyewe nae ni kilaza tu asiyeweza kutambua hata wanaomsaidia na wasiomsaidia. Lazima tuwe wakweli jamani tusifichefiche, kikwete ni mweupe tena sana ndiyo maana nchi inakwenda hovyo hovyo!!

jibu ni kwamba ni maagizo maalum na waandishi wa habari wanahusika katika hilo:

hata mimi nimeisikia hii.Eti baada ya ruzuku ya CCM kupungua mno na kwa sasa CCM inakabiliwa na ukata kama vyama vingine basi wameamua kuachana na ufadhili wa hili gazeti.
Vimekuwepo vikao vingi kuhusu ni mkondo gani (umma au CCM) gazeti lisimame mwishowe wameridhia waiponde serikali ila wasimponde JK kama kiongozi wa hii serikali i.e JK aonekane anafanyiwa hujuma na maofisa wa serikali ?????ila sio JK kikwazo serikalini??????shangaaaaa
 
Tatizo sio wasaidizi ni mamlaka zinazoteua wasaidizi hata tume ya Mwakyembe ilisema hilo...nanukuu'' ....Mamlaka iyiyomteua Mkurugenzi Mkuu wa PCCB imwajibishe..'' leo ni miaka mitatu bado anadunda
 
Unajua mtu mwenye akili hata marafiki wake na washauri wake huwaanachagua wanaojiweza ila mjinga hata washauri wake ni wajinga! Hv hamjui hata kuchagua washauri wazuri inabidi uwe timamu. Tatizo yeye analeta uongozi wa chuo udsm kwenye nchi!
 
JK is a blank-mind - just one bamboozle, unfortunately Tanzania we'll have for the next four years. He's just one President that un/fortunately will end up with no legacy - If it's a see saw, mabaya ya JK yame-outweight mazuri...... Hana cha kukumbukwa.

the only country in the world that it's citizens and residents can get away with their own life peacefully without having a national leader.
 
Back
Top Bottom