Braniac
Senior Member
- Aug 17, 2010
- 151
- 6
Hivi kuna umuhimu wowote wa posti kama hii??Mbona hukumwambia aende na pale ccm Lumumba na kila siku wanapikia mle ndani kama lunch yao? Pia ikulu ipo JK anawapa wakatoliki mle ndani. Jana karudi naye mzima toka songea