Ni wapi naweza kupata nyama safi ya Kitimoto for the weekend hapa Dar

Mbona hukumwambia aende na pale ccm Lumumba na kila siku wanapikia mle ndani kama lunch yao? Pia ikulu ipo JK anawapa wakatoliki mle ndani. Jana karudi naye mzima toka songea
Hivi kuna umuhimu wowote wa posti kama hii??
 
duh!!...............asanteni sana skills4ever na belindajacob................jamani hayo maeneo ya migombani-savei mmenikumbusha enzi zangu nakamata buku UD................. duh, ukishabarikiwa na mbusi katoliki, mtu mzima unahamia cafe latino pale sam nujoma road au sisimizi pale daraja la ubungo kwa ajili ya kushushia mbuzi wako kwa maji ya dhahabu.................. hapo ilikuwa unakamata ni mpaka majogooo ................ huku ukitumbuizwa na live band za uswazi kila alhamisi (cafe latino) ................... kama boom halijaanza kulaliia kushoto, unaweza kupata escort ya totoz yako moja uliyoiimbisha nyimbo chini ya mdigree................. aaaggh, jamani acheni tu tuzeeke sasa, tumetoka mbali aisee.....................

Cafe Latino naona hakubambi sana siku hizi..halafu pamebadilika kweli pia Sisimizi sababu ya barabara!!..

Karibu siku nyingine migombani-savei mana hapazeeki pale!..jioni kama ya leo ni kufurahia weekend na nyama yetu katoliki!!
 
kiti+moto.jpg
 
Naombeni kwa wale wazoefu mnijuze, ni wapi naweza pata nyama safi ya mdudu kwa ajili ya kuuburudisha mwili na roho yangu for the weekend, nimechoka sana na kazi zimenibana sana nahitaji mdudu nile nitulie hadi jumatatu.

Asanteni sana kwa wale mtakaonijuza na kwa wale mtakaokasirika nawakaribisha pia ila muache wivu

Mwezi wa toba kaka
 
Nenda morogoro road baada ya kituo cha polisi kwa yusufu pita shule ya mbezi high mbele kidogo kuna bango mkono wa kushoto "insalaga" sorry kama jina nimekosea kidogo ila ita-enjoy.
 
Naombeni kwa wale wazoefu mnijuze, ni wapi naweza pata nyama safi ya mdudu kwa ajili ya kuuburudisha mwili na roho yangu for the weekend, nimechoka sana na kazi zimenibana sana nahitaji mdudu nile nitulie hadi jumatatu.

Asanteni sana kwa wale mtakaonijuza na kwa wale mtakaokasirika nawakaribisha pia ila muache wivu
B bar pale kwa Remmi Sinza,tena hapo utakutana na batoto ba mjini
 
Elli avatar yako inanitia machungu sana na hii serikali dhalimu, siku ya kupata uhuru wa kweli kutoka ccm tutaweka movie tuangalie tulikotoka haki ya dona shahidi maharagwe ninavyowaona police hata wakija hospitali natamani hata nisiwaone ningetukana lakini naogopa ban. ila unawakilisha sana mkuu.
 
hahaaa avatar kweli naona kuna haja ya kui-modify ila nimeeipenda kwasababu inatukumbusha wajibu wetu kwa taifa, lakini pia LEO KUNA PROMOSHENI YA MATUSI WAWEZATUKANA TUSI lisilozidi herufi tano na kisitaje viungo vya mwili kama "kufikiria kwa makalio" ya kitimoto
Elli avatar yako inanitia machungu sana na hii serikali dhalimu, siku ya kupata uhuru wa kweli kutoka ccm tutaweka movie tuangalie tulikotoka haki ya dona shahidi maharagwe ninavyowaona police hata wakija hospitali natamani hata nisiwaone ningetukana lakini naogopa ban. ila unawakilisha sana mkuu.
 
Maneno yote ni Mwenge pale nyuma ya TRA karibu na magorofa ya jeshi kuna bingwa anaitwa CHUWA,kuna jamaa alinipa ushuhuda kuwa hakuwahi kula nyumbani kwake kwa siku kama 20 hivi mfululizo maana kila jioni lazima aripoti hapo, ukila rosti unaweza kumtaliki mkeo,mimi huwa nabeba na mkate kabisa wa kumalizia ile rosti.
 
na mwezi huu hakuna foleni....kama ni kweli
 
Maneno yote ni Mwenge pale nyuma ya TRA karibu na magorofa ya jeshi kuna bingwa anaitwa CHUWA,kuna jamaa alinipa ushuhuda kuwa hakuwahi kula nyumbani kwake kwa siku kama 20 hivi mfululizo maana kila jioni lazima aripoti hapo, ukila rosti unaweza kumtaliki mkeo,mimi huwa nabeba na mkate kabisa wa kumalizia ile rosti.
Haya nitajitahidi nikapate "mnyama" huko
 
Jamani nataka member 10 tukale sote ntalipa garama zote za mnyama,,,,,vinywaji ntachangia 20x10 ukitaka zaidi utajazia mnakaribiwa kuni pm,ntanchagua kwa mtindo wa kwanza ku pm niko dsm
karibuni,tuanze mwaka vizuri
 
Jamani nataka member 10 tukale sote ntalipa garama zote za mnyama,,,,,vinywaji ntachangia 20x10 ukitaka zaidi utajazia mnakaribiwa kuni pm,ntanchagua kwa mtindo wa kwanza ku pm niko dsm
karibuni,tuanze mwaka vizuri

Haya wee, mimi nijumuishe..lini tarehe ya kwenda? na wapi? au kila kitu utakuwa umepanga wewe?
 
Fuldoz mabibo baada ya TGNP mbele kidogo unaingia kulia kuna kitu cha ukweli pale
 
Back
Top Bottom