Ni wapi Dar naweza pata huduma ya massage nzuri?

Ndio nimechoka sana viungo vyote vinauma.......

mmhh haya
karibu kipande hii dear..

ntakuanzia shingoni mpaka ukucha wa mguu..
mmmhh baada ya hapo uta relax kwenye jakuzi.
halafu ntakutengenezea supu..
mmhh kwa hilo joto la Dar
bore tufungue champagne
au wa onaje dear ???
 
mmhh haya
karibu kipande hii dear..

ntakuanzia shingoni mpaka ukucha wa mguu..
mmmhh baada ya hapo uta relax kwenye jakuzi.
halafu ntakutengenezea supu..
mmhh kwa hilo joto la Dar
bore tufungue champagne
au wa onaje dear ???

Shukran sana na mie nimekuwa bubu nafata usemayo tu........
 
Niwache nioongee kwa ishara tu maana we acha tu...............

mmmhh ishara do tamu zaidi
maana ntakaa hapo nikukodelee macho..
niyalegeze kidogo, nitabasamu kwa mapozi.
mmmhh ngoja niachie hapo..

maana ntakuwa sikueelewi..
basi na mie ntaongea na "body language"
hahahha lol
 
mmmhh ishara do tamu zaidi
maana ntakaa hapo nikukodelee macho..
niyalegeze kidogo, nitabasamu kwa mapozi.
mmmhh ngoja niachie hapo..

maana ntakuwa sikueelewi..
basi na mie ntaongea na "body language"
hahahha lol

Kitakachofuata ni hatariiiiiiiiiiiiiiiiiiii lol
 
Kitakachofuata ni hatariiiiiiiiiiiiiiiiiiii lol

mmmhhh kwenye hatari na danger huko bado sana dear
hahahahah lol

hapa naoana tunacheza soccer weye wajifanya wajua sana..
basi wapiga chenga zako halaf wanyanganywa mpira..
waonaje kama ukinirushia pasi ??

mmhhh kwenye hatari na danger tutafika
lakini taratibu ..
hutaki kuchoka kabla hujafikia goli dear
hahahah llol
 
  1. Ile ya Kindondoni opposite Muslim Sec. bomba sana, ina vifaa vya kisasa, na ina wadada very professional tatizo lake ni bei, nadhani full body plus scrub plus manicure na padicure ni 60,000. Massage peke yake ni 20,000, na ukiamua ya specific area tuu, kama mgongo, miguu, mikono, kichwa na mabega ni 10,000 each, duration ya full body na kila kitu to two hours, full body massage peke yake ni 1 hour, na spefic area ni 30 min.
  2. Ile ya BM Saloon, bei yao ni 20,000 tuu na kuna dada mmoja Mkenya, ama mikono with power of massage, tatizo lao, iko sloon, watu ni wengi sana, na massage room yao sio self contained.
  3. Ile ya Mbezi Beach, ni full house, iko very very private, nayo bei yake ni 20,000 per hour, ila mhudumu mmoja tuu ambaye she is really good na very professional, viko pale visichana vingine 4, hizo dressing zao kwenye massage na massage zao, unaweza kudhani wanataka kukuibia, kwa kifupi ni kama wezi fulani wakikumassage, pia wanataka biashara nyingine.
  4. Wale wachina pale Girraffe, wao ndio fully professiona wakitumia chinese technics za Shiantu 'touch of life', wao wana mpaka sauna na unaoga kwenye jacuzzi, bei yao ni 100,000 per hour.


Best, mhh! kweli una full info . . . . ipo namna . . .

Inanikumbusha jamaa yangu moja alikwenda Message Centre moja Masaki akapigwa na huduma ya ziada. Jamaa ikawa hata siku za kazi inabidi atoroke kwa ajili ya "Massage" alipoona bado usumbufu akaamua kumwajiri huyo binti aliyekuwa anmpatia huduma ya ziada + Full kumpangishia nyumba.

Nija-touch base naye siku nyingi sijui wanaendeleaje.

Ila kama unakwenda ni wazo jema kuongozana na spouse wako for similar treatment ya massage ya ukwelii. inasaidia sana.
 
mmmhhh kwenye hatari na danger huko bado sana dear
hahahahah lol

hapa naoana tunacheza soccer weye wajifanya wajua sana..
basi wapiga chenga zako halaf wanyanganywa mpira..
waonaje kama ukinirushia pasi ??

mmhhh kwenye hatari na danger tutafika
lakini taratibu ..
hutaki kuchoka kabla hujafikia goli dear
hahahah llol

mimi kama
Fernando Torres​
fernando-torres-footballer.jpg



Nikifika kwenye kumi nanane kinachofata goli sina chenga chenga natumia akili zaidi na magoli yangu hupendwa sana na mashabiki wangu..........
 
  1. Ile ya Kindondoni opposite Muslim Sec. bomba sana, ina vifaa vya kisasa, na ina wadada very professional tatizo lake ni bei, nadhani full body plus scrub plus manicure na padicure ni 60,000. Massage peke yake ni 20,000, na ukiamua ya specific area tuu, kama mgongo, miguu, mikono, kichwa na mabega ni 10,000 each, duration ya full body na kila kitu to two hours, full body massage peke yake ni 1 hour, na spefic area ni 30 min.
  2. Ile ya BM Saloon, bei yao ni 20,000 tuu na kuna dada mmoja Mkenya, ama mikono with power of massage, tatizo lao, iko sloon, watu ni wengi sana, na massage room yao sio self contained.
  3. Ile ya Mbezi Beach, ni full house, iko very very private, nayo bei yake ni 20,000 per hour, ila mhudumu mmoja tuu ambaye she is really good na very professional, viko pale visichana vingine 4, hizo dressing zao kwenye massage na massage zao, unaweza kudhani wanataka kukuibia, kwa kifupi ni kama wezi fulani wakikumassage, pia wanataka biashara nyingine.
  4. Wale wachina pale Girraffe, wao ndio fully professiona wakitumia chinese technics za Shiantu 'touch of life', wao wana mpaka sauna na unaoga kwenye jacuzzi, bei yao ni 100,000 per hour.

Thanks for that information!!
Swali: Je zipo massaging parlours bubu hapo Dar? Mimi nataka hizo bubu za uchochoroni/underground
 
Nenda mpaka central,fuata ile barabara ya gari za ubungo mbele kidogo kuna round about,elekea kushoto kuna Hotel Continental. Kuna mamisi humo!ela yako yaenda kihalali. Njia ikiwa ngumu,tokea pale posta ,askari mönument shuka na samora road mpaka ile round about ndo ufike hotel continental. Jiangalie ukitokea samora road ni one way ivyo barabara hii inayopita ofisi ya tra upite kwa guu lako ama sivo utatulipa faini!
 
Wakuu JF,

naomba kujuzwa sehemu ninayoweza kupata huduma ya massage nikiwa Dar. Naomba iwe ni sehemu safi yenye hadhi, siyo uchochoroni.

Manzese darajani, uliza kwa Ngeta au mfuga mbwa :sick:
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom