mkishikwa pabaya mnatoka mapovu badala ya kurekebisha msonge mbele!!!! Huo ndo unafiki ambao shibuda aliukataa.......mkikaa kwenye ma-tivii mnapinga tena kwa kauli mbiu ya pipoz pawa,mkizunguka mnachukua!!! Hamna tofauti na wanaoikubali moja kwa moja!!
issue siyo kuchukua, ila issue ni sysytem mbaya, ukizingatia na wingi wa wabunge wa ccm kusupport uchukuaji wa posho,