MWAKIGOBE
Member
- Nov 1, 2010
- 65
- 2
Punguzeni hasira basi, naomba pia tukumbuke kuwa kila mtu ana haki ya kupata elimu bora. Hivyo, acha hivi vyuo vichukue watu wote wenye pass, kwani havikuwafelisha vyenyewe, kazi yake ni kuwaelimisha na wengi mwishowe hufanya vizuri na kuwa na maisha bora. Angalizo, tuache ushabiki, hebu tujadili mambo yatakayoinua elimu nchini na kumkomboa mtanzania wa kawaida.