KIBURUDISHO
JF-Expert Member
- Mar 28, 2011
- 1,002
- 274
Natumai tukianzisha mapenzi ya aina hiyo tataheshimiana sana.Kwamba leo naanzisha mahusiano na wewe lakini tambua kuwa ifikapo tarehe xx/x/xxxx ujue uthamani wako kwangu umekwisha lakini kwa upande mwingine naona dada zetu hawatapendeza kwa hasa wanaowategemea ma boyfriend wao watakuwa wanaambiwa muda wangu umebakia mchache saaaana kwa hiyo haina maana kukugharimia labda tuongeze mkataba.Tofauti na hii ya sasa unamgharimia kiburudisho weee baada ya siku mbili unapewa kibuti inauma sana.Na hapo ndipo unapoonekana umuhimu wa kuingia kwenye mkataba wa mapenzi unaoonyesha tarehe ya kuexpaya.