Huyo Prof ni Noma kweli anakuambia; alivyokuwa Marekan alikuwa anakaa chumba kimoja na msichana kutoka S.Africa mpaka wakamaliza masomo haja.......naeBazazi nilikuwa BSc Agric general nilimaliza 2007 alikuwa anatufundisha soil chemistry jamaa ni mjima kweli huwezi amini hadi leo ana gari 1 tu landrover 109 na linaendeshwa na mkewe tu alikuwa mwl wangu wa special project
ni vigumu kuamini kama ulikuwa kweli kwenye mazungumzo na profesa ama kuwa uliamini yeye ni profesa, maana hapa sijui unalotafuta zaidi ya kufurahisha genge
Viumbe wote wanakula maraha kwenye ngono.Katika mazungumzo yangu ya kawaida tu,nimekutana na prof wa biology,katika kuongea hapa na pale akanieleza unajua katika viumbe vyote vilivyopo duniani hapa ni BINADAMU NA DOLPHIN tu ndio huwa wanaigeuza purposely ngono kuwa starehe,viumbe vingine vyote ni purposely for reproduction!!!!Sasa kuna ukweli katika hili?na kama kuna ukweli ni kwa nini viumbe hivi vilifikia huko kuifanya starehe na reproduction kutokea ndani ya starehe na si vingine vinavyokutana purposely for reproduction?
Viumbe wote wanakula maraha kwenye ngono.
Hapana wewe unajuangamia pia,wewe hujui,
Mbwa ngono yao nzuri maana huwa dume akichomeka akimwaga lazma inate ndani,sasa hapo anageuka wanaanza kuvutana,raha sana aisee,
Katika mazungumzo yangu ya kawaida tu,nimekutana na prof wa biology,katika kuongea hapa na pale akanieleza unajua katika viumbe vyote vilivyopo duniani hapa ni BINADAMU NA DOLPHIN tu ndio huwa wanaigeuza purposely ngono kuwa starehe,viumbe vingine vyote ni purposely for reproduction!!!!Sasa kuna ukweli katika hili?na kama kuna ukweli ni kwa nini viumbe hivi vilifikia huko kuifanya starehe na reproduction kutokea ndani ya starehe na si vingine vinavyokutana purposely for reproduction?
Ni kweli kabisa. Dolphin na Binadamu ndio wanafanya mapenzi kwa kwa ajili ya reproducion na starehe. Hawa wenine wote no matter the frequency of mating is for reproduction
Hata ma chimp pia, tena nimeambhwa wao huwa wanahonga pia
Mbwa ngono yao nzuri maana huwa dume akichomeka akimwaga lazma inate ndani,sasa hapo anageuka wanaanza kuvutana,raha sana aisee,