Ni vitu gani husababisha nywele kuwa nyeupe(Mvi)

Kennedy

JF-Expert Member
Dec 28, 2011
49,004
54,273
Salam waungwana wa jukwaa hili. Kuna wakati unaweza kumuona mtu ana mvi ingawaje kiumri bado. Nadhani zaweza kutokea labda kutokana na maumbile ingawaje sina uhakika,pia kama kuna dr au mtaalam yoyote anaejua anaweza tuelimisha. Kuna wengine hata wakizeeka hawana,wengine wakiwa shule za msingi,sekondari wanazo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom