Kennedy
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 49,004
- 54,273
Salam waungwana wa jukwaa hili. Kuna wakati unaweza kumuona mtu ana mvi ingawaje kiumri bado. Nadhani zaweza kutokea labda kutokana na maumbile ingawaje sina uhakika,pia kama kuna dr au mtaalam yoyote anaejua anaweza tuelimisha. Kuna wengine hata wakizeeka hawana,wengine wakiwa shule za msingi,sekondari wanazo.