Papa Mopao
JF-Expert Member
- Oct 7, 2009
- 4,106
- 2,504
Katika hili, ninyi mna yapi mnayoyafahamu?
Karibuni!
Karibuni!
Usimruke ukuta mkeo, hapo mbinguni umeshafika bila shaka, na mwanamke usikatae kula koni ya mmeo.
huu sasa mtihani na ushekhe Yahaya unahusika naona.
Kweli huyu Papa Mopao lol
Ndoa yenye mungu haina migogoro ya mara kwa mara. Imetawaliwa kwa amani upendo na utulivu. Wanandoa hufanya ibada mara kwa mara na huiombea ndoa yao. Nyuso zao zimetawaliwa na furaha na tabasamu. Umeelewa?
Mpatanishi vipi? NDOA ngumu eeh?