Rutunga M
JF-Expert Member
- Mar 16, 2009
- 1,769
- 1,382
Jamani wadau
kama mmefuatilia matangazo mengi ya uchaguzi katika TV za Tanzania hasa matokeo ya mikoani yamekuwa yakifanywa kwa njia ya simu badala ya kutuonesha picha za video.
hivi ni vifaa gani,vinapatikanaje,gharama zake ili tuvisaidie vituo hivi.Ayu tujue kama wanashindwa kuvinunua kwa sabbu ya ukata au hawaoni umuhimu.
kwa kuwa jukwaa hili halishindwi kitu,tujulishane,tatizo ni nini hasa kwa TV zetu na waandishi wao wa mikoani
kama mmefuatilia matangazo mengi ya uchaguzi katika TV za Tanzania hasa matokeo ya mikoani yamekuwa yakifanywa kwa njia ya simu badala ya kutuonesha picha za video.
hivi ni vifaa gani,vinapatikanaje,gharama zake ili tuvisaidie vituo hivi.Ayu tujue kama wanashindwa kuvinunua kwa sabbu ya ukata au hawaoni umuhimu.
kwa kuwa jukwaa hili halishindwi kitu,tujulishane,tatizo ni nini hasa kwa TV zetu na waandishi wao wa mikoani