Inanambo
JF-Expert Member
- Jun 26, 2011
- 3,985
- 2,770
Pole sana ndugu kwa msiba huo mkubwa na tena wa Ghafla. Mungu awatie nguvu na Faraja.
Umenikumbusha maneno ya wimbo wa Ambasada of Christ ya Rwanda. wamesema ukweli na hata Yesu mwenyewe alituasa tukeshe tukiomba kwa kuwa hatujui siku wala saa ya kutwaliwa.
Bwana ametoa, Bwana ametwaa jina lake lihimidiwe.
Umenikumbusha maneno ya wimbo wa Ambasada of Christ ya Rwanda. wamesema ukweli na hata Yesu mwenyewe alituasa tukeshe tukiomba kwa kuwa hatujui siku wala saa ya kutwaliwa.
Bwana ametoa, Bwana ametwaa jina lake lihimidiwe.