Nipo katika tafakuri kuu!
Ninaamini kuwa invention ni process ambayo inaanza na wazo hatimae wazo kujaribiwa na baada ya kuonekana kuwa lafaa kuendelezwa hadi kufikia level ya consumption. Hii inahitaji resources, political will pamoja na cooperation kati ya mwenye wazo, wanasiasa na raia ambao ni walaji.
Nimekuwa na wazo la muda mrefu la jinsi ya kuleta maendeleo kwa walala hoi wenzangu tatizo langu kubwa nikuwa siamini chama kilicho madarakani kama ni mtu sahihi wa kubeba maono yangu moja likiwa tabia yao ya ufisadi.
Nilitenga muda wa miezi 4 mwaka huu kushirikiana na hao nilioona wafaa kubeba maono yangu katika kuona ni jinsi gani yaweza kuwa reality, tatizo inaonekana viongozi wao wako very busy kiasi ambacho hatuwezi kufanya yale niliyopanga kufanya kwa mwaka huu na muda wangu ndo umefika ukingoni.
Sasa ndipo nikarudi kujiuliza kwa sauti hivi nikuwa nimeogopa bure kuwapa maono waliopo madarakani; ama nimekosa uvumilivu kwa hawa niliowachagua; ama nimekosa imani kwa Mungu aliyenipa haya maono?
Ebu nisaidieni mwenzenu kunipa uwezekano wa lipi la weza kuwa jibu sahihi kwangu ili nisije ingiwa na Ibilisi wa kukata tamaa!
Ninaamini kuwa invention ni process ambayo inaanza na wazo hatimae wazo kujaribiwa na baada ya kuonekana kuwa lafaa kuendelezwa hadi kufikia level ya consumption. Hii inahitaji resources, political will pamoja na cooperation kati ya mwenye wazo, wanasiasa na raia ambao ni walaji.
Nimekuwa na wazo la muda mrefu la jinsi ya kuleta maendeleo kwa walala hoi wenzangu tatizo langu kubwa nikuwa siamini chama kilicho madarakani kama ni mtu sahihi wa kubeba maono yangu moja likiwa tabia yao ya ufisadi.
Nilitenga muda wa miezi 4 mwaka huu kushirikiana na hao nilioona wafaa kubeba maono yangu katika kuona ni jinsi gani yaweza kuwa reality, tatizo inaonekana viongozi wao wako very busy kiasi ambacho hatuwezi kufanya yale niliyopanga kufanya kwa mwaka huu na muda wangu ndo umefika ukingoni.
Sasa ndipo nikarudi kujiuliza kwa sauti hivi nikuwa nimeogopa bure kuwapa maono waliopo madarakani; ama nimekosa uvumilivu kwa hawa niliowachagua; ama nimekosa imani kwa Mungu aliyenipa haya maono?
Ebu nisaidieni mwenzenu kunipa uwezekano wa lipi la weza kuwa jibu sahihi kwangu ili nisije ingiwa na Ibilisi wa kukata tamaa!