wapo waliowekeza sana pia wakaumia....
wakakuta 'kampuni imebinafsishwa'....
ina wamiliki wengine..na wao wamepata hasara....
Hapo ndipo kwenye mtego, sasa , je, tuwekeze kidogo ili kuepuka maumivu makubwa? Kumbuka high risks high returns - positive or negative!
unatakiwa kuinvest kiasi cha kutosha but sio life savings
au everything...hata ukipata hasara unaendelea na life yako
Hapa mnaongea lugha ya Biashara sijui kama ntaambulia kitu
Hus hebu do ze nidiful nifafanulie maana ya investor, high risk, returns, shares, life savings...
mi nasikia uvivu uncle. Mwambie the boss.
Compa asante kwa ufafanuzi...sasa hapo juu si unaona Husninyo keshasema 'anasikia uvivu'...kimapenzi nikifanya uwekezaji hapo itakuwaje, tukiassume mambo ya ceteris paribus....hapo Compa wewe ni 'business consultant' lol
Halafu kuna mjadala mkali kule kwen siasa, Kiranga na Malecela W...sijajua 'mwisho wa siku' itakuwaje..
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/244296-william-malecela-dissaster-waiting-to-happen.html.
mh, nora kuwekeza kwenye risk free securities kwa sababu una uhakika afu ziko very liquid ukijisikia unaiseel kwenye secondary market, yaani unaweza ukamuunganishia mshikaji wako au pacha wako kazi ikaendelea ila ndo hivyo return ndogo ila uhakika wa kutoumizwa ni 100%
Compa ninachoona kigumu hapo kwenye uwekezaji wa hisia ni pale ambapo tunaingiza suala la 'udini' wa 'mapenzi' ya kweli, kwamba umempenda mtu kiukweli 'huwezi kujizuia' kuonyesha hisia zako, na kama huwezi kujizuia maana yake ni kwamba haupo na akili ya kutosha kujua uwekeza 'hisa' kiasi gani. Matokeo yake inakuwa umecheza 'kamari' hatari sana ambayo ni aidha upate mazima au ukose mazima 'ufe kabla ya siku zako'
nadhani umenipata
basi bora kuminimize risk kwa portfolio ile unsystematic risk yote inakuwa hamna kadiri unavyoadd security mwisho wa siku unajikuta return kubwa risk ndogoreturns ndogo ndio chanzo kikuu cha divorce/mitala, cheating/ubazazi na dumping/kibuti!
ukitaka mapenzi matamu wekeza +100% ila jua kuwa unaweza kupoteza na kupata -0%!
tuweke udini pembeni na tuangalia falsafa, saikolojia, hesabu na fizikia ya mapenzi. mkipendana na kuaminiana kidogo msitegemee penzi lenu kukolea na kudumu hata kidogo. ila mkipendana na kuaminiana sana tegemeeni penzi tamu lililokolea na lenye uwezo wa kudumu - lakini soko la hisa likitetereka tu kutokana na sababu za ndani au nje mjue mmoja wenu au wote mtaumia sana na kuambulia deni la penzi. na hakuna ku-file for bankruptcy hapo, ni kufilisika tu moyoni. mambo ya 'moral harzard' hayo, yanatisha ila hakuna jinsi - ili ufaidi penzi lazima uwekeze hisia sana bila ajizi!