Msaada Jamani.MIMI na Vijana wenzangu 24 wakiume na wakike tumeunda kikundi cha kusaidiana kijamii, kiuchumi n.k.lengo kubwa ni kupeana nguvu katika maswala ya elimu,Harusi ,maradh na Misiba.JE NI Utaratibu gani hutumika kusajili Kikundi?je ni vitu gani vya Kuandaa kama Viambatanisho?JE NI OFISI GANI HUSHUGHULIKA NA HAYA MAMBO YA Usajili??MSAADA TAFADHARI