Ni ushauri tu: You can either take it or leave it

ok sweet here i come..

naomba unijibu hapa familia baba, mama na watoto wawili
na mama ni mjamzito wa mtoto wa tatu..
baba ni mfanya kazi na baba ndo analeta kipaji nyimbani
mama hana kazi, ni mama tu wa nyumbani..

tatizo linakuja hapa, baba ni mlevi
anarudi nyumbani saa sita za usiku
akija chakula kiko mezani ana
kula halafu anaingia chumbani..

mama anasema we kwanini kila siku unachelewa nyumbani??
wanaanza kugombana, baba anapatwa na hasira ananza kumpiga mkeo..
watoto wanaamka ajili ya makele,
siku nyingine baba namfukuza huyo mama nje ya nyumba
usiku wa manane, lakini mama anavumilia
kwa sababu ya ahadi walizotoa kanisani na watoto wao..

siku ya siku imefika baba anamfukuza mkeo
kwa sababu amepata mwanamke mwingine
na mkeo hataki kuondoka ,
basi baba anamwacha mkeo na watoto
bila income yeyote yeye anapotea..

Je huyu mke alistahili kuvumilia kwa muda huo wote????

Ngoja nipate :coffee::coffee::coffee: kwanza nikitafakari vizuri
 
ok sweet here i come..

naomba unijibu hapa familia baba, mama na watoto wawili
na mama ni mjamzito wa mtoto wa tatu..
baba ni mfanya kazi na baba ndo analeta kipaji nyimbani
mama hana kazi, ni mama tu wa nyumbani..

tatizo linakuja hapa, baba ni mlevi
anarudi nyumbani saa sita za usiku
akija chakula kiko mezani ana
kula halafu anaingia chumbani..

mama anasema we kwanini kila siku unachelewa nyumbani??
wanaanza kugombana, baba anapatwa na hasira ananza kumpiga mkeo..
watoto wanaamka ajili ya makele,
siku nyingine baba namfukuza huyo mama nje ya nyumba
usiku wa manane, lakini mama anavumilia
kwa sababu ya ahadi walizotoa kanisani na watoto wao..

siku ya siku imefika baba anamfukuza mkeo
kwa sababu amepata mwanamke mwingine
na mkeo hataki kuondoka ,
basi baba anamwacha mkeo na watoto
bila income yeyote yeye anapotea..

Je huyu mke alistahili kuvumilia kwa muda huo wote????
mtu wangu niaje aisee....!hivi naomba unipe link yako kule facebook nataka tuchat kidogo,mi pm siko vizuri,au kama vipi haya messenger!

ile makitu bado aisee
 
Mapungufu ya kibinadamu is just a mere excuse! Watu wengi wanapenda sana kulitumia neno hili, lakini mimi binafsi huwa silitumii...

Nikiwa kwenye mahusiano na mwanamke na akaanza kila kukicha maongezi yetu lazima yawe na neno "I'm sorry" - I simply quit without saving.

Ukimlea Mjusi anaweza kuwa Mamba na kukumeza! Kuacha wangapi ni "relative term" - Mbona kila siku unanua suruali au shati jipya - the same rule should apply in "REAL WORLD"! Siwezi kulazimisha nafsi yangu kukaa na usongo wa mawazo kwa kisingizio kuwa kuna siku mwenza wangu atabadilika - hiyo ndiyo mnaita uvumilivu - wakati sijazaliwa naye wala kulelewa naye, no. never

Mimi sina uvumilivu na sitakuwa na uvumilivu, hata kama ni kuwa na mahusiano elfu kumi before I'm six feet under, It is OK...

Waache wafu wazike wafu wenzao - usikae na kuishi na "mizoga" hoping that will be resurrected!

Mmmhhh leo umeamkaje boss maana umejibu kwa ukali kweli. Pole sana
 
ok sweet here i come..

Naomba unijibu hapa familia baba, mama na watoto wawili
na mama ni mjamzito wa mtoto wa tatu..
Baba ni mfanya kazi na baba ndo analeta kipaji nyimbani
mama hana kazi, ni mama tu wa nyumbani..

Tatizo linakuja hapa, baba ni mlevi
anarudi nyumbani saa sita za usiku
akija chakula kiko mezani ana
kula halafu anaingia chumbani..

Mama anasema we kwanini kila siku unachelewa nyumbani??
Wanaanza kugombana, baba anapatwa na hasira ananza kumpiga mkeo..
Watoto wanaamka ajili ya makele,
siku nyingine baba namfukuza huyo mama nje ya nyumba
usiku wa manane, lakini mama anavumilia
kwa sababu ya ahadi walizotoa kanisani na watoto wao..

Siku ya siku imefika baba anamfukuza mkeo
kwa sababu amepata mwanamke mwingine
na mkeo hataki kuondoka ,
basi baba anamwacha mkeo na watoto
bila income yeyote yeye anapotea..

Je huyu mke alistahili kuvumilia kwa muda huo wote????

hapana,apotee haraka.....:a s 20::a s 20:
 
Was wondering where were you all this time

Was busy with my dear bottle - and now she has just given me 5 minutes!

Uvumilivu ni dalili ya kufikia mwisho wa kufukiri - Agree to Disagree - We normally arrive at a conclusion when we stop thinking! Baba_Enock never stops thinking!
 
Was busy with my dear bottle - and now she has just given me 5 minutes!

Uvumilivu ni dalili ya kufikia mwisho wa kufukiri - Agree to Disagree - We normally arrive at a conclusion when we stop thinking! Baba_Enock never stops thinking!
:clap2::clap2::clap2:
 
ok sweet here i come..

Naomba unijibu hapa familia baba, mama na watoto wawili
na mama ni mjamzito wa mtoto wa tatu..
Baba ni mfanya kazi na baba ndo analeta kipaji nyimbani
mama hana kazi, ni mama tu wa nyumbani..

Tatizo linakuja hapa, baba ni mlevi
anarudi nyumbani saa sita za usiku
akija chakula kiko mezani ana
kula halafu anaingia chumbani..

Mama anasema we kwanini kila siku unachelewa nyumbani??
Wanaanza kugombana, baba anapatwa na hasira ananza kumpiga mkeo..
Watoto wanaamka ajili ya makele,
siku nyingine baba namfukuza huyo mama nje ya nyumba
usiku wa manane, lakini mama anavumilia
kwa sababu ya ahadi walizotoa kanisani na watoto wao..

Siku ya siku imefika baba anamfukuza mkeo
kwa sababu amepata mwanamke mwingine
na mkeo hataki kuondoka ,
basi baba anamwacha mkeo na watoto
bila income yeyote yeye anapotea..

Je huyu mke alistahili kuvumilia kwa muda huo wote????

not acceptable haikubaliki
 
Mapungufu ya kibinadamu is just a mere excuse! Watu wengi wanapenda sana kulitumia neno hili, lakini mimi binafsi huwa silitumii...

Nikiwa kwenye mahusiano na mwanamke na akaanza kila kukicha maongezi yetu lazima yawe na neno "I'm sorry" - I simply quit without saving.

Ukimlea Mjusi anaweza kuwa Mamba na kukumeza! Kuacha wangapi ni "relative term" - Mbona kila siku unanua suruali au shati jipya - the same rule should apply in "REAL WORLD"! Siwezi kulazimisha nafsi yangu kukaa na usongo wa mawazo kwa kisingizio kuwa kuna siku mwenza wangu atabadilika - hiyo ndiyo mnaita uvumilivu - wakati sijazaliwa naye wala kulelewa naye, no. never

Mimi sina uvumilivu na sitakuwa na uvumilivu, hata kama ni kuwa na mahusiano elfu kumi before I'm six feet under, It is OK...

Waache wafu wazike wafu wenzao - usikae na kuishi na "mizoga" hoping that will be resurrected!

utanidai bia moja!...
 
mtu wangu niaje aisee....!hivi naomba unipe link yako kule facebook nataka tuchat kidogo,mi pm siko vizuri,au kama vipi haya messenger!

ile makitu bado aisee

duuhh sasa unani tisha hukupata mpaka leo??
nimekutumia contact kwenye PM..
ni add ili tu chart
 
Was busy with my dear bottle - and now she has just given me 5 minutes!

Uvumilivu ni dalili ya kufikia mwisho wa kufukiri - Agree to Disagree - We normally arrive at a conclusion when we stop thinking! Baba_Enock never stops thinking!
unanidai bia ya pili hapa....!
 
Jamani kuvumilia sio kitu kizuri, tuachane nacho tu
 
Back
Top Bottom