The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,071
- Thread starter
- #101
ok sweet here i come..
naomba unijibu hapa familia baba, mama na watoto wawili
na mama ni mjamzito wa mtoto wa tatu..
baba ni mfanya kazi na baba ndo analeta kipaji nyimbani
mama hana kazi, ni mama tu wa nyumbani..
tatizo linakuja hapa, baba ni mlevi
anarudi nyumbani saa sita za usiku
akija chakula kiko mezani ana
kula halafu anaingia chumbani..
mama anasema we kwanini kila siku unachelewa nyumbani??
wanaanza kugombana, baba anapatwa na hasira ananza kumpiga mkeo..
watoto wanaamka ajili ya makele,
siku nyingine baba namfukuza huyo mama nje ya nyumba
usiku wa manane, lakini mama anavumilia
kwa sababu ya ahadi walizotoa kanisani na watoto wao..
siku ya siku imefika baba anamfukuza mkeo
kwa sababu amepata mwanamke mwingine
na mkeo hataki kuondoka ,
basi baba anamwacha mkeo na watoto
bila income yeyote yeye anapotea..
Je huyu mke alistahili kuvumilia kwa muda huo wote????
Ngoja nipate :coffee::coffee::coffee: kwanza nikitafakari vizuri