Magulumangu
JF-Expert Member
- Jan 7, 2010
- 3,047
- 452
Jamani hodi nabisha,jamvini kukaribishwa,
changu ni kima cha insha,japo kuja kupaishwa,
nilipata badilisha,tigo ilipoanzishwa,
Ni urahisi gharama,tigo inapotumiwa?
mwanzoni ilitikisa,neno tigo kimaana,
mkichwa ilinitesa,tigo yake maana,
wengi jama huwatesa,wakijaribu ka suna,
ni urahisi gharama,tigo inapotumiwa,
tigo inapotumiwa,ujumbe wake hufika,
jamani niliambiwa,nata hutojanasuka,
tofauti yake huwa,voda ni gharama fika,
ni urahisi gharama,tigo inapotumika,
wengi wao wana mbili,tigo voda hutumia,
hawa eti wanajali,kidai soko huria,
wewe ulie ngangali,kote wataka pigia,
ni rahisi gharama,tigo inapotumika?
tamatini ntaishia,upasuaji ukinijia,
zantel voda tumia,sawa kunako nokia,
mambo kuyaingilia,tigo kwa mtanzania?
tigo inapotumiwa,watumiaji hujisikiaje?
changu ni kima cha insha,japo kuja kupaishwa,
nilipata badilisha,tigo ilipoanzishwa,
Ni urahisi gharama,tigo inapotumiwa?
mwanzoni ilitikisa,neno tigo kimaana,
mkichwa ilinitesa,tigo yake maana,
wengi jama huwatesa,wakijaribu ka suna,
ni urahisi gharama,tigo inapotumiwa,
tigo inapotumiwa,ujumbe wake hufika,
jamani niliambiwa,nata hutojanasuka,
tofauti yake huwa,voda ni gharama fika,
ni urahisi gharama,tigo inapotumika,
wengi wao wana mbili,tigo voda hutumia,
hawa eti wanajali,kidai soko huria,
wewe ulie ngangali,kote wataka pigia,
ni rahisi gharama,tigo inapotumika?
tamatini ntaishia,upasuaji ukinijia,
zantel voda tumia,sawa kunako nokia,
mambo kuyaingilia,tigo kwa mtanzania?
tigo inapotumiwa,watumiaji hujisikiaje?