Kirode
JF-Expert Member
- Mar 25, 2011
- 3,566
- 82
Wadau , kuna kitu kinaendelea hapa tz. Nahisi kwa mtazamo wangu kitajaleta madhara, kuna mambo kadhaa yanatokea na ukiangalia undani wake ni ya msingi lakini viongozi wetu kuanzia shina mpaka juu ni kama wameamua watumie hii kauli ya ni upepo tu utapita, mwisho nchi imekuwa kama ya masihara, kwa kuanzia tu mnakumbuka madaktari uliitwa upepo wakaja walimu upepo.. Juzi nilimueleza m. Kiti wa mtaa elnino inaweza leta madhara tuchimbe mitaro akanijibu ni upepo tu utapita.. Haya masihara yataendelea mpaka lini wakuu? Taja swala la upepo tu utapita unalokumbuka..,.karibuni