<br />Nafikiri wengine kitanda kinakaa katikati ya chumba but upande wangu naujua lol
Nafikiri wengine kitanda kinakaa katikati ya chumba but upande wangu naujua lol
<br />sikumbuki mara ya mwisho nimelala lini kitandani
Yah far awayShantel; lazima itakuwa ni away from the main entrance! Nimekosea?
Mhhh chabo<br />
<br />
kwa hiyo unalazwa kwenye gari!
siku ya kulazwa ntalazwa Amana au Mwananyamala hos,nazungumzia kulala hapa!<br />
<br />
kwa hiyo unalazwa kwenye gari!
Ha ha ha aaaa, Shantel umenikumbusha mimi ilikuwa tofauti, nachelewa kulala ili nisilale ukutani, sijui ilikuwa sababu ya uchafuzi wa hewa kweli tunatofautiana teh teh tehhome na mdogo wangu tulikuwa tunawahi ukutani, hii ilitufanya tuwwe tunakimbilia kitandani mapema, yani atakayewahi ndio analala ukutani
<br />
<br />
kwa hiyo unalazwa kwenye gari!
siku ya kulazwa ntalazwa Amana au Mwananyamala hos,nazungumzia kulala hapa!
labda maana alivyokimbilia magari...wakati ujanja bajaji siku hizi!teh teh shosti, labda anaendesha ambulance huyu! sasa sijui wanalaza humo?
labda maana alivyokimbilia magari...wakati ujanja bajaji siku hizi!
<br />Heh, we chabo unalaza watu kwenye gari?!
Shantel,umewahi kusoma kitabu chochote kinahusu mambo ya feng shui? Kama bado tafuta usome wanaeleza madhara/faida ya bed positioning,lakini kwa kifupi tu stability ya mwili wako inaendana na earths magnetism hivyo alignment ni muhimu kwa ustawi wa mwili hasa wakati umelala.Nafikiri wengine kitanda kinakaa katikati ya chumba but upande wangu naujua lol