Ni kwa kipindi sasa naona mijadala ya vyuo imekuwa ikishamiri humu jukwaani.Baadhi ya watu wamekuwa wakichangia upumbavu tu ingawa wanajiita wasomi,mara wanajisifiasifia wanapopatia elimu zao na kukejeli vyuo vingine.
Nakwambia hivi,dunia hii haina kanuni,na usijaribu kuipa kanuni,Mungu pekee ndiye anayeijua!
Kwa nini ujisifie chuo wakati kichwani kwako kumejaa ulimbukeni?Kwa nini ujisifie chuo wakati huwezi hata kucompete kwenye Soko la Afrika Mashariki?Acheni ushamba,mnaingia vyuoni hata perfect tenses hamjui halafu mnabishana humu ndani!
Tatizo lililokuwa kichwani kwako ni kuwa kuwa graduate mzuri ni kuongea na kuandika fluent English, je mwanangu wa std 5 st naniliu anaweza compete EAC zaidi yangu mimi frm UDSM. Ondoa uzi wako unaonyesha hata hujitambui zaidi kutetea chuo chako cha kata. Funny unaanzia st fulani unamalizia Kata university alafu unajiita competent wakati mzazi wako alijitahidi ili nawewe umalizie alikokuanzishia ukaprove umbumbumbu wako. Bye