mie ndo nalala na kuamkia hapa na kazini kesho sendi,kumbe huwa mnapulizia nanihii wanaume wa kileo kumbe karibia wote .5Naona wewe na Shosti mmekuja na magodoro kabisa kwenye thread hii hahaha! Nafahamu hamuwezi kukubali eti mechi iishe dakika 1-3 ndio maana nimempa ufumbuzi at least atapiga danadana dakika 15-20 lol!