Companero
Platinum Member
- Jul 12, 2008
- 5,604
- 1,704
Zakumi na Juliasi acheni hizo, hivi mmewahi kuwaona wanawake mnaowaita 'Wamang'ati' wakiwa wamevaa nguzo zao za ngozi na kubeba hivyo vifurushi/vibwebe mgongoni? Yaani ule ni ubunifu wa asili. Sio ninyi wazungu weupe hata kutengeneza batiki na kuivaa hamuwezi! Miafrika!