PISTO LERO
JF-Expert Member
- Mar 8, 2011
- 2,819
- 1,454
- Thread starter
- #21
Samahani wakuu....
Hivi sifa ya kuwa mTanzania ni kuwa na kadi ya kura?
Hivi kuwa na kadi ya kura ni moja ya sifa ya kugombea ubunge?
Kama majibu ya maswali haya ni NDIYO basi maswali yako ni valid kabisa, na kama hana kadi basi watakuwa wanafanya makosa makubwa sana ya kubaka demokrasia
Unless otherwise.....................................
tunakubali kwenye swala la uraia wametupiga changa la macho lakini kwa hili watueleze tu ukweli sababu wameru si wajinga kiasi hicho