Ni sawa wizara kutumia kodi ya wananchi kutumika kwenye mazishi ya Kanumba?

yahoo

JF-Expert Member
Sep 9, 2011
3,527
1,405
Nimehuzunika sana na kifo cha mpendwa wetu na kijana mwenzangu Steve Kanumba.BUT kunakitu hakijaniingia akilini pale waziri wa vijana na utamaduni alipotangaza kwamba wizara yake itatoa sh.milioni 15 kwa familia ya kanumba,nilimshuudia kwa macho yangu kupitia tv.Then nilisoma gazeti la mtanzania nikakutana na habari inayosma 'serikali itagharamia mazishi yote ya kanumba.'.nauliza je hii bajeti hiyo inatolewa kwenye fungu gani la bajeti ya serikali ukizingatia Kanumba ni raia wa kawaida kama mimi ? Na je huyo waziri alitoa rambirambi yake binafsi?
 
Kitendo kilichofanyika ni cha busara,kubali ukatae Kanumba amewasaidia kwa njia moja ama nyingine vijana wengi kujiajiri kwa sababu ya kazi zake na pia amelitangaza soko la nchi yetu(la filamu) kwa kiasi kikubwa.usiwe mtu wa kupinga tu mambo ndugu yangu kama kusoma huwezi hata picha huoni,hawezi kuwa kama wewe kiukweli vinhinevyo uniambie ni nin ulishafanya kwa nchi yako chenye manufaa kimataifa
 
Nimehuzunika sana na kifo cha mpendwa wetu na kijana mwenzangu Steve Kanumba.BUT kunakitu hakijaniingia akilini pale waziri wa vijana na utamaduni alipotangaza kwamba wizara yake itatoa sh.milioni 15 kwa familia ya kanumba,nilimshuudia kwa macho yangu kupitia tv.Then nilisoma gazeti la mtanzania nikakutana na habari inayosma 'serikali itagharamia mazishi yote ya kanumba.'.nauliza je hii bajeti hiyo inatolewa kwenye fungu gani la bajeti ya serikali ukizingatia Kanumba ni raia wa kawaida kama mimi ? Na je huyo waziri alitoa rambirambi yake binafsi?

Raia wa kawaida kama wewe? Ni watu wangapi wanakufahamu wewe? Mchango wako ktk jamii ni upi?
 
Nasikitika sana ninapoona watu wao kazi yao ni kupinga kila kitu. Hiyo siyo sera ya chama chochote. Kusema ukweli mchango wa Kanumba katika nchi hii ni wachache wameufikia. Nadiliki kusema hata mawaziri walio wengi hawajafikia hata nusu yake. Haki anastahili kufanyiwa yote haya. Huwezi kuniambia wewe unawazidi wote waliohudhuria mazishi yake. Walikuwa na sababu. Kubali yaishe kila kitu kina muda wake
 
Nimehuzunika sana na kifo cha mpendwa wetu na kijana mwenzangu Steve Kanumba.BUT kunakitu hakijaniingia akilini pale waziri wa vijana na utamaduni alipotangaza kwamba wizara yake itatoa sh.milioni 15 kwa familia ya kanumba,nilimshuudia kwa macho yangu kupitia tv.Then nilisoma gazeti la mtanzania nikakutana na habari inayosma 'serikali itagharamia mazishi yote ya kanumba.'.nauliza je hii bajeti hiyo inatolewa kwenye fungu gani la bajeti ya serikali ukizingatia Kanumba ni raia wa kawaida kama mimi ? Na je huyo waziri alitoa rambirambi yake binafsi?

Kama huwezi kuthamini mchango wa Kanumba katika nchi hii,basi hujui maana ya kutoa mchango wa Taifa Lako. Katika umri mdogo Kanumba ametoa mchango mkubwa kukuza ajira, ku-intertain, kueleimisha jamii, na kuitangaza vyema nchi yetu. Kumbuka waliko itoa Bongo Movies, kutoka maaigizo hadi kufikia kuwa Industry inayowaweka watu kibao mjini. Sisemi kuwa Industry imekomaa, lakini ilipofika inatia moyo. Mchango wa Kanumba ni mkubwa kuliko mchango wa wanasiasa wengi tu, ambao wanaiba fedha zetu na mwisho wa siku wanazikwa mazishi ya kitaifa. After all hizo unazoita fedha za walipa kodi si pamoja na Kanumba na Familia yake? Halafu watu kama ninyi ndo unaweza kukuta hata hiyo kodi hamlipi na hamna mchango wowote kwa Taifa hili. Hovyo sana wewe.
 
Kwa hiyo hata kubaka vibinti vidogo ni kuitangaza vema nchi yetu? Acheni hizo sio wivu ila ni matumizi mabaya ya fedha za umma. Wamekufa wangapi waliofanya mazuri kwa nchi hii mbona hawajatendewa hivi? Au mnataka kutuambia kuwa ukiondoa baba wa Taifa anaefuata ni Kanumba?
 
Mkuu Kanumba aliishika juu sanaa ya bongo,ameitambulisha tanzania nchi za nje.kama unataka kufahamu kwamba Kanumba
ni mtu mhimu kwenye jamii angalia msiba wake ulivyowagusa wengi.
 
Kwa hiyo hata kubaka vibinti vidogo ni kuitangaza vema nchi yetu? Acheni hizo sio wivu ila ni matumizi mabaya ya fedha za umma. Wamekufa wangapi waliofanya mazuri kwa nchi hii mbona hawajatendewa hivi? Au mnataka kutuambia kuwa ukiondoa baba wa Taifa anaefuata ni Kanumba?

Kumbe ule umati mkubwa sana pale ktk mazishi wewe roho ilikuwa inauma!
 
Kaka zangu naogopa kuorothesha mazuri ya kanumba hapa coz nahc ctamaliza na cmu itaisha chaji.kifupi mm ni shabk wake .but kikatiba na utaratibu wa serikali raia wote ni sawa somehow exept viongozi wa nchi .msiwe vpofu kwa sabb ya mapenzi.serikali ya usa iligharamikia nn au ilitoa sh.ngapi michael jackson alipokufa?
 
Tuache kuwa EMOTIONAL DRIVEN kama wanawake, serikali IMEKOSEA. Kanumba was just an individual na alichofanya si jambo linalokubalika na kila mtu.
1. The so called FILAMU kwa sasa imekuwa ndio kitovu cha uhuni na uasherati mkubwa kama huu uliopelekea kifo chake (Sipongezi, zinaharibu akili zenu)
2. Huyu anayesema msiba wa Kanumba umewagusa wengi, hicho si kigezo. Magazeti ya SHIGONGO yanasomwa na karibu wanawake wooote waliofeli form 4 na wasio na mwelekeo, je hicho ni kigezo kuwa UWAZI na IJUMAA ndio magazeti bora hapa Tanzania? (Lipime wewe mwenyewe kama una akili timamu)
3. Allocation ya fedha za serikali ina taratibu zake. Ikiwa leo kafa Kanumba 15m, kesho (kwa mfano, Mwenyezi Mungu aepushie mbali) akafa Juma Kaseja, serikali isipotoa 15m tutawaelewa?

Nionavyo mimi: Kuwa msanii hakumlazimishi mtu awe MUHUNI. Ukisoma headlines za magazetu yenu haya ya UDAKU utaona jinsi yalivyopambwa na habari za Fulani na Fulani wamelala chumba kimoja Nairobi, Uwoya kafumaniwa na mume wa mtu, Sijui nani kabakwa, yaani ni full upuuzi. Ikiwa haya ndio mnayoyaita maendeleo leo hii tukiwa wabovu kiuchumi kama nchi, basi tuna safari ndefu.

Wasanii wafanye sanaa na sio uhuni. Umaarufu kunuka huo mnaojivunia kwa kuwa nje ya nyumba za baba zenu saa 8 usiku ndio matokeo yake haya. Mtoto wa miaka 18 ana mabwana 6 hadi anawaua wengine kwa presha halafu mniambie mimi nikiwa na akili zangu timamu bila pombe, ETI HAYO NI MAFANIKIO KWA TANZANIA, nyooo! Kwendeni zenu huko
 
Kumbe ule umati mkubwa sana pale ktk mazishi wewe roho ilikuwa inauma!

Umati mkubwa au mdogo haujustify matumizi mabaya ya fedha na dhambi zilizofanywa na marehemu yeyote yule duniani. Kwa akili zenu mnafikiri Mungu naye anaapreciate filamu za bongo kiasi asahau kuwa hata kifo chenyewe kimeletwa katika mazingira ya uasherati.

Tell me then, umefaidika nini na ule umati au marehemu anafaidikaje na rundo la watu wasio na akili kujaa kwenye mzoga wake? Akili zako na za yule mama aliyesahau njia ya kwenda hospitali mpaka akaenda kujifungulia barabarani hazitofautiani sana.

Cha ajabu, hamna aliyeona ujinga wa yule mama wa kuhatarisha maisha ya mtoto wake na ya kwake, badala yake mtakuwa mlishangilia.
 
Kama huwezi kuthamini mchango wa Kanumba katika nchi hii,basi hujui maana ya kutoa mchango wa Taifa Lako. Katika umri mdogo Kanumba ametoa mchango mkubwa kukuza ajira, ku-intertain, kueleimisha jamii, na kuitangaza vyema nchi yetu. Kumbuka waliko itoa Bongo Movies, kutoka maaigizo hadi kufikia kuwa Industry inayowaweka watu kibao mjini. Sisemi kuwa Industry imekomaa, lakini ilipofika inatia moyo. Mchango wa Kanumba ni mkubwa kuliko mchango wa wanasiasa wengi tu, ambao wanaiba fedha zetu na mwisho wa siku wanazikwa mazishi ya kitaifa. After all hizo unazoita fedha za walipa kodi si pamoja na Kanumba na Familia yake? Halafu watu kama ninyi ndo unaweza kukuta hata hiyo kodi hamlipi na hamna mchango wowote kwa Taifa hili. Hovyo sana wewe.

Wakifa na wasanii wengine zitatolewa?

Kuna mambo hayalinganishiki ndugu yetu. Kumlinganisha Kanumba na wanasiasa wengi ni sawa na kumlinganisha Padre na Polisi. Haya unayoita mafundisho kwa jamii ni yepi? Kuzurura nje na watoto U20 kwa jina la usanii? Kuweka wave kwenye nywele na kutoga masikio?

Hivi kwa akili yako, Tanzania ya leo ambayo watoto wa kike wadogo kabisa wanajua A to Z ya filamu za mahusiano ni bora kuliko ile ya Mchezo wa Radio wa kina Mzee Jongo na Mama na Mwana kwa kuwa tu kumezuka ajira za watu kuweka mapaja na vitovu nje as if hawana wazazi?

Wewe ndio HOVYO kupita maelezo. Hisia za moyo wako usizifanye kuwa sheria. Ndio nyinyi mliofunga safari kutoka Kibada mnakoishi ili mradi tu muonekane kwenye kamera kuwa na nyinyi mlikuwepo
 
Mkuu Kanumba aliishika juu sanaa ya bongo,ameitambulisha tanzania nchi za nje.kama unataka kufahamu kwamba Kanumba
ni mtu mhimu kwenye jamii angalia msiba wake ulivyowagusa wengi.

exlent think out of the box.usikariri maisha.nakubaliana na ww kanumba waz jembe,lakin bajeti ya serikali ni kodi ya wananchi haiwezi kutumika kwa watu kwa sabb eti alikuwa maarufu mbona dr lemy aliyeitangaza nchi na hakupewa chochote na sirkali tangu kuugua hadi kufa.Kuna watoto wanakaa chini darasani wakisubiri hizo pesa bila mafanikio..siasa zitatuua!
 
exlent think out of the box.usikariri maisha.nakubaliana na ww kanumba waz jembe,lakin bajeti ya serikali ni kodi ya wananchi haiwezi kutumika kwa watu kwa sabb eti alikuwa maarufu mbona dr lemy aliyeitangaza nchi na hakupewa chochote na sirkali tangu kuugua hadi kufa.Kuna watoto wanakaa chini darasani wakisubiri hizo pesa bila mafanikio..siasa zitatuua!

Vijitu vya namna hiyo ya kufikiri unadhani vitakuelewa hata uje na gitaa. Vinaishi kwa illusions na kumuona huyo Kanumba kama mungu. Sioni wapi serikali inapata mandate ya kutumia kodi zetu kwa hisia za waziri.
 
Whether it was right or wrong lakini serikali inabidi kuwa makini kwenye haya mambo maana inaweza kutengeneza precedent mbaya. Kesho anaweza akafariki msanii mwingine maarufu halafu serikali isichangie chochote. Kwa haki kabisa watu watataka kujua mbona serikali ilichangia kwa yule lakini siyo huyu.
 
kuna watu wanashabikia mambo ya kijinga ambayo yameanzia kwa jk nao wanayakubali. Hivi hii si ndo wizara ilifukuzwa nhc kwa kutolipa kodi? Ukienda dawasco na tanesco hawa ni wadaiwa sugu. Leo mnaniambia kuchezea kodi zetu kwa mambo ya mazisho ya mtu asiye na mchango wa kitaifa ni halali! Tusiwe wavivu wa kufikiri kiasi hicho, hivi huo ujinga wanaoufanya unatuingizia dola ngapi kwa mwaka? Serikali nzima imehamia kwenye msiba wa watu waliouana wakizini, na vyombo vya habari vingine hata wakati wa ajali ya meli hawakutangaza lakini leo wamepata airtime? Hawa viongozi mi najiuliza kwenye bajeti walizomia wameandika nini? Ni emergence ngapi za kitaifa zinatokea tunaambiwa hakuna hela? Hospitali ngapi leo hazina ultrasound,dawa,? Rais,makamu,pm,mawaziri vichwa vyao wote vimeoza. Wameshindwa kuwaletea wananchi maendeleo wameamua wawe wanawalisha wali kwenye misiba? Au ndo mwendelezo wa majibu mepesi kwenye maswali magumu? Ndo yale ya tacaids kutaka kodi za vinywaji zipande ili wao wapate za kununulia v8 na kusomesha watoto wao nje huku waathirika wakihangaika na lishe na complications za dawa?Tuacheni kutetea upumbavu,fedha zetu nyingi zimetumika pasipo kufuata matumizi yanayoeleweka. Fedha zenyewe za mkopo bado tunafanyia ujinga. Naomba wafadhili waendelee kujitoa ili tupate akili. Narudia HUU NI UPUNGUANI WA WALE WOTE WALIOTUMIA KODI ZETU KWENYE HUU MSIBA!.
 
Back
Top Bottom