Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,476
- 39,995
[h=6]Fikiria:
Ni sawasawa na kwenda mpirani halafu refa anakataza chenga zisipigwe, mashabiki wasishangilie, furaha isioneshwe na magoli yasifungwe. Na yakifungwa, mfungaji asishangilie kwa mbwembwe! Yaani, watu wanapiga mpira tu, bila kugusana, kupigana ngwala, kuchomekeana n.k Sijui nani atalipa kwenda kuangalia![/h]
Ni sawasawa na kwenda mpirani halafu refa anakataza chenga zisipigwe, mashabiki wasishangilie, furaha isioneshwe na magoli yasifungwe. Na yakifungwa, mfungaji asishangilie kwa mbwembwe! Yaani, watu wanapiga mpira tu, bila kugusana, kupigana ngwala, kuchomekeana n.k Sijui nani atalipa kwenda kuangalia![/h]