mshikachuma
JF-Expert Member
- Dec 2, 2010
- 2,853
- 626
Jamani siku mbili zilizopita Serikali ya Marekani imetangaza kuwa imewaweka viongozi 3 wa kikundi cha Boko haramu
cha Nigeria kwenye list ya most wanted people in the world...watawasaka kwa udi na uvumba mpaka wawashike no
matter wakiwa hai au wamekufa lakini wanawahitaji tu. - Sasa maswali yangu ni
1.Kwanini ni Boko haramu tu? mbona hawakutangaza hivi kwa Al-shabaab ya somalia while wote ni magaidi?
2.Je ikatokea wamefanikisha kuwakamata na kuwauwa au kuwafunga maisha, Je Nigeria itakalika salama? au
ndiyo itakuwa mwanzo wa vifo vingine kutoka kwa Boko haramu?.
3.Je ni kweli Boko haramu ni watetezi wa dini ya kiislamu huko Nigeria au ni kikundi cha wahuni tu?
Kwa wale wataalamu wa mambo ya kidiplomasia naombeni mnijuze Saga hili kwa faida yangu na wanaJF wengine.
Shukrani....na nawasilisha
cha Nigeria kwenye list ya most wanted people in the world...watawasaka kwa udi na uvumba mpaka wawashike no
matter wakiwa hai au wamekufa lakini wanawahitaji tu. - Sasa maswali yangu ni
1.Kwanini ni Boko haramu tu? mbona hawakutangaza hivi kwa Al-shabaab ya somalia while wote ni magaidi?
2.Je ikatokea wamefanikisha kuwakamata na kuwauwa au kuwafunga maisha, Je Nigeria itakalika salama? au
ndiyo itakuwa mwanzo wa vifo vingine kutoka kwa Boko haramu?.
3.Je ni kweli Boko haramu ni watetezi wa dini ya kiislamu huko Nigeria au ni kikundi cha wahuni tu?
Kwa wale wataalamu wa mambo ya kidiplomasia naombeni mnijuze Saga hili kwa faida yangu na wanaJF wengine.
Shukrani....na nawasilisha