Ilibidi CCM watoe walinzi awapo jukwaani lakini kwa kuwa katiba inasema kuwa there is no time kuwa Jamhuri ikakosa rais basi nadhani ktk sheria au kanuni za ulinzi wa rais zinaruhusu jamaa wa kikosi cha ulinzi wa rais kumpetipeti. Ila kama wenzetu hawa wangekuwa wabunifu wangelikuwa na shield ya kuondoa taswira kwamba HUYU MNAYEMWONA tunayemlinda ndiye na atakuwa rais wenu.
Ninyi watu wa protokali wa rais jaribuni kuboresha mazingia, au kama vipi basi wagombea wooote wa urais wapewe wanajeshi na wanausalama nyuma yao maana wana status ya nusu rais (lolote laweza kutokea) hivyo wapewe haki sawa.
Nashauri tujadili mjadala huu tukiwa na fikra kwamba kuna ombwe kwenye katiba kuhusu suala hili.
Ilibidi CCM watoe walinzi awapo jukwaani lakini kwa kuwa katiba inasema kuwa there is no time kuwa Jamhuri ikakosa rais basi nadhani ktk sheria au kanuni za ulinzi wa rais zinaruhusu jamaa wa kikosi cha ulinzi wa rais kumpetipeti. Ila kama wenzetu hawa wangekuwa wabunifu wangelikuwa na shield ya kuondoa taswira kwamba HUYU MNAYEMWONA tunayemlinda ndiye na atakuwa rais wenu.
Ninyi watu wa protokali wa rais jaribuni kuboresha mazingia, au kama vipi basi wagombea wooote wa urais wapewe wanajeshi na wanausalama nyuma yao maana wana status ya nusu rais (lolote laweza kutokea) hivyo wapewe haki sawa.
Nashauri tujadili mjadala huu tukiwa na fikra kwamba kuna ombwe kwenye katiba kuhusu suala hili.
Kuna haja ya kuibadili ccm madarakani ili tupate katiba mpyaKuna haja ya kubadili katiba ya nchi tukipata chama kipya madarakani
Kuna haja ya kuibadili ccm madarakani ili tupate katiba mpya
Ilibidi CCM watoe walinzi awapo jukwaani lakini kwa kuwa katiba inasema kuwa there is no time kuwa Jamhuri ikakosa rais basi nadhani ktk sheria au kanuni za ulinzi wa rais zinaruhusu jamaa wa kikosi cha ulinzi wa rais kumpetipeti. Ila kama wenzetu hawa wangekuwa wabunifu wangelikuwa na shield ya kuondoa taswira kwamba HUYU MNAYEMWONA tunayemlinda ndiye na atakuwa rais wenu.
Ninyi watu wa protokali wa rais jaribuni kuboresha mazingia, au kama vipi basi wagombea wooote wa urais wapewe wanajeshi na wanausalama nyuma yao maana wana status ya nusu rais (lolote laweza kutokea) hivyo wapewe haki sawa.
Nashauri tujadili mjadala huu tukiwa na fikra kwamba kuna ombwe kwenye katiba kuhusu suala hili.
Kaka suala la kuwa na mwanajeshi ni suala la urais wake na kama Amiri Jeshi Mkuu ambalo halina uhusiano na ugombea wake. Siku anapo ondoka yule mwanaeshi nyuma yake ni ishara kuwa jeshi limevunja utiifu kwake kama rais na amiri jeshi mkuu...ungependa kuona hilo linatokea??
Kaka suala la kuwa na mwanajeshi ni suala la urais wake na kama Amiri Jeshi Mkuu ambalo halina uhusiano na ugombea wake. Siku anapo ondoka yule mwanaeshi nyuma yake ni ishara kuwa jeshi limevunja utiifu kwake kama rais na amiri jeshi mkuu...ungependa kuona hilo linatokea??