Elections 2010 Ni sawa JK kukampeni na JW/TPDF?

Mdau

JF-Expert Member
Mar 29, 2008
1,789
470
Wadau jamvini,ni mara ya pili sasa namuona mgombea urais wa CCM, Jakaya Kikwete (akilindwa?) na askari kadhaa toka Jeshi la Wananchi...sijaelewa kwamba ni sababu au mahitaji yapi yanafanya hali iwe hivyo, tafadhali mwenye maelezo na ayaweke hapa....
 
Ilibidi CCM watoe walinzi awapo jukwaani lakini kwa kuwa katiba inasema kuwa there is no time kuwa Jamhuri ikakosa rais basi nadhani ktk sheria au kanuni za ulinzi wa rais zinaruhusu jamaa wa kikosi cha ulinzi wa rais kumpetipeti. Ila kama wenzetu hawa wangekuwa wabunifu wangelikuwa na shield ya kuondoa taswira kwamba HUYU MNAYEMWONA tunayemlinda ndiye na atakuwa rais wenu.

Ninyi watu wa protokali wa rais jaribuni kuboresha mazingia, au kama vipi basi wagombea wooote wa urais wapewe wanajeshi na wanausalama nyuma yao maana wana status ya nusu rais (lolote laweza kutokea) hivyo wapewe haki sawa.

Nashauri tujadili mjadala huu tukiwa na fikra kwamba kuna ombwe kwenye katiba kuhusu suala hili.
 
Kweli kabisa kwani wagombea wote waliotambuliwa katika kinyang'nyiro, hicho mmoja wao anaweza kua Rais hivyo wote wanapashwa kupatiwa ulinzi
Ilibidi CCM watoe walinzi awapo jukwaani lakini kwa kuwa katiba inasema kuwa there is no time kuwa Jamhuri ikakosa rais basi nadhani ktk sheria au kanuni za ulinzi wa rais zinaruhusu jamaa wa kikosi cha ulinzi wa rais kumpetipeti. Ila kama wenzetu hawa wangekuwa wabunifu wangelikuwa na shield ya kuondoa taswira kwamba HUYU MNAYEMWONA tunayemlinda ndiye na atakuwa rais wenu.

Ninyi watu wa protokali wa rais jaribuni kuboresha mazingia, au kama vipi basi wagombea wooote wa urais wapewe wanajeshi na wanausalama nyuma yao maana wana status ya nusu rais (lolote laweza kutokea) hivyo wapewe haki sawa.

Nashauri tujadili mjadala huu tukiwa na fikra kwamba kuna ombwe kwenye katiba kuhusu suala hili.
 
Ilibidi CCM watoe walinzi awapo jukwaani lakini kwa kuwa katiba inasema kuwa there is no time kuwa Jamhuri ikakosa rais basi nadhani ktk sheria au kanuni za ulinzi wa rais zinaruhusu jamaa wa kikosi cha ulinzi wa rais kumpetipeti. Ila kama wenzetu hawa wangekuwa wabunifu wangelikuwa na shield ya kuondoa taswira kwamba HUYU MNAYEMWONA tunayemlinda ndiye na atakuwa rais wenu.

Ninyi watu wa protokali wa rais jaribuni kuboresha mazingia, au kama vipi basi wagombea wooote wa urais wapewe wanajeshi na wanausalama nyuma yao maana wana status ya nusu rais (lolote laweza kutokea) hivyo wapewe haki sawa.

Nashauri tujadili mjadala huu tukiwa na fikra kwamba kuna ombwe kwenye katiba kuhusu suala hili.

Hotuba yake ya kuwatisha wafanyakazi wasigome ilikua na chembe za "MIMI HAPA NDIYE RAIS,NUKTA"..sikuona mantiki ya kuzungukwa na wakuu wa vyombo vyote vya ulinzi na usalama...
 
Kuna haja ya kubadili katiba ya nchi tukipata chama kipya madarakani
 
Siku zote hata wao walikua na uwezo wa kuibadili ila kwa wao hawawezi mana ni sawa na kujitia kitanzi wenyewe

Wangebadili tusingepata uwezo wa kujua uozo wao...by the way,hawana uwezo huo, ni walafi...
 
Ilibidi CCM watoe walinzi awapo jukwaani lakini kwa kuwa katiba inasema kuwa there is no time kuwa Jamhuri ikakosa rais basi nadhani ktk sheria au kanuni za ulinzi wa rais zinaruhusu jamaa wa kikosi cha ulinzi wa rais kumpetipeti. Ila kama wenzetu hawa wangekuwa wabunifu wangelikuwa na shield ya kuondoa taswira kwamba HUYU MNAYEMWONA tunayemlinda ndiye na atakuwa rais wenu.

Ninyi watu wa protokali wa rais jaribuni kuboresha mazingia, au kama vipi basi wagombea wooote wa urais wapewe wanajeshi na wanausalama nyuma yao maana wana status ya nusu rais (lolote laweza kutokea) hivyo wapewe haki sawa.

Nashauri tujadili mjadala huu tukiwa na fikra kwamba kuna ombwe kwenye katiba kuhusu suala hili.

Kaka suala la kuwa na mwanajeshi ni suala la urais wake na kama Amiri Jeshi Mkuu ambalo halina uhusiano na ugombea wake. Siku anapo ondoka yule mwanaeshi nyuma yake ni ishara kuwa jeshi limevunja utiifu kwake kama rais na amiri jeshi mkuu...ungependa kuona hilo linatokea??
 
Kaka suala la kuwa na mwanajeshi ni suala la urais wake na kama Amiri Jeshi Mkuu ambalo halina uhusiano na ugombea wake. Siku anapo ondoka yule mwanaeshi nyuma yake ni ishara kuwa jeshi limevunja utiifu kwake kama rais na amiri jeshi mkuu...ungependa kuona hilo linatokea??

Bwana ni tatizo la katiba zetu amabazo zina grey areas nyingi, manake mie na experience ya kuwa kwenye nchi kama Botswana, Namibia and SA, wakati wa uchaguzi hao majeshi wanaomlinda rais anayegombea tena, wanavaa nguo za kiraia tu bila kutishia watu kama sisi !!
 
Kaka suala la kuwa na mwanajeshi ni suala la urais wake na kama Amiri Jeshi Mkuu ambalo halina uhusiano na ugombea wake. Siku anapo ondoka yule mwanaeshi nyuma yake ni ishara kuwa jeshi limevunja utiifu kwake kama rais na amiri jeshi mkuu...ungependa kuona hilo linatokea??

Lakini ni sawa kuongozana naye kwenye kampeni?? Kwani JW si wanatakiwa wakae makambini kwao? Au kukaa nyuma yake ni hadi kwenye kampeni??
 
Back
Top Bottom