Samahani wapendwa,hivi kuna madhara gani kufanya mapenzi ukiwa katika siku zako kwa wote female na male?
kwan we hauna siku zako????????Wewe unamiliki siku?....
Unafanya kama unakiu!!ukimaliza wahi kunawa!!
Samahani wapendwa,hivi kuna madhara gani kufanya mapenzi ukiwa katika siku zako kwa wote female na male?
bob marley siyo?aya bwana ebu ntafute ipod ilipo nipate swaga za kibusara zaid by the wheel of natural tree for brain food n wise eye!!!!Labda nikuulize kwanza Speaker, wanaume nao wana siku zao??????Anyway, when one door is closed, others are open!
kwan we hauna siku zako????????
bob marley siyo?aya bwana ebu ntafute ipod ilipo nipate swaga za kibusara zaid by the wheel of natural tree for brain food n wise eye!!!!
ninazo 44Ngoja nikatafute stoo...wewe unazo ngapi...
naja babu!!karibu breakfast Rose, unakulaga mchemsho wa mdudu?????karibu tujumuike bana
ninazo 44
Sijui zimeenda wapi....nimetafuta kule stoo nimezikosa....unaweza kuniazima mbili?
sina mbavu rosenaja babu!!
nakula kila kitu mwaya iwe mdudu ,wadudu au vijidudu wanyama wenye manyoya na wasio na manyoya
wenye kuruka na kutambaa!!!!
hahahahah.....sasa hapa sijui tunasoma between....under or above the line....:confused2::confused2: