TUMBIRI
JF-Expert Member
- May 7, 2011
- 1,933
- 1,199
Wandugu.
Nimesoma kwenye baadhi ya magazeti kwamba serikali ya tanzania imeingiziwa chenji yake ya rada katika akaunti yake iliyopo London. Taarifa hiyo imeambata na tamko la Waziri wa fedha, Mustafa Mkulo kukiri Tanzania kupokea pesa hizo na kwamba tayari serikali yake imepanga kupeleke pesa hizo Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi ili kukabili matatizo mbalimbali yanaikabili sekta ya Elimu nchini.
Nijuavyo mimi ni kwamba kazi ya serikali ni kupanga matumizi then bunge linayaidhinisha. Je ni sahihi serikali kujipangia na kujiidhinishia matumizi bila baraka za Bunge?
Nimesoma kwenye baadhi ya magazeti kwamba serikali ya tanzania imeingiziwa chenji yake ya rada katika akaunti yake iliyopo London. Taarifa hiyo imeambata na tamko la Waziri wa fedha, Mustafa Mkulo kukiri Tanzania kupokea pesa hizo na kwamba tayari serikali yake imepanga kupeleke pesa hizo Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi ili kukabili matatizo mbalimbali yanaikabili sekta ya Elimu nchini.
Nijuavyo mimi ni kwamba kazi ya serikali ni kupanga matumizi then bunge linayaidhinisha. Je ni sahihi serikali kujipangia na kujiidhinishia matumizi bila baraka za Bunge?