Mbu
JF-Expert Member
- Jan 11, 2007
- 12,753
- 7,844
Hivi kuwekeana post za kujaribiana ndo lengo la jukwaa hili? Kama mtu ana tatizo si aseme asaidiwe.... Mzeewaloliondo, hili jukwaa si kama ile central page ya gazeti fulani unapokutaga mada 'ukigundua mumeo anatembea na mamako' au 'siku ukigundua mumeo ni shoga'. Halafu unakuta mijitu inatuma SMS kwa nguvu zote kuchangia topic. Hebu tu-mantain hadhi ya jukwaa!
...together bana, we are in the same boat, wachokozi sana hawa! ha ha ha!...
I have been dating my friend's ex-girlfriend for 5 years. Ila jamaa hajui!!
...Kaka, duuuuh!...
Iwapo niliachana nae vizuri haina shida, lakini iwapo niliachana vibaya na ex-wangu!
urafiki unaishia hapo hapo (nikijua!)
...halafu lazima nilipize! :mad2: