Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,476
- 39,995
Kumekuwa na kilio na wito wa kutaka serikali "ibane matumizi". Siku za karibuni kumekuwa na mwitikio wa kubana matumizi ikiwemo kwa Rais kupunguza anaoambatana nao na mambo ya posho n.k Nimekaa na kufikiria hivi ni kweli kwamba tatizo letu ni kuwa tunatumia sana? au tunatumia vibaya? Ni kipi basi sahihi kufuatwa?
a. Kubana matumizi (kupunguza matumizi ili "kuokoa fedha")na kutumia vizuri kidogo kilichopo
b. Kuongeza matumizi na kutumia vizuri kile kingi kilichopo
c. Kupunguza matumizi bila kujali tunatumiaje kidogo kilichopo
d. Kuongeza matumizi bila kujali tunatumiaje hicho tunachoongeza
e. Tutumie tu bila kujali alimradi vipo vya kutumia
a. Kubana matumizi (kupunguza matumizi ili "kuokoa fedha")na kutumia vizuri kidogo kilichopo
b. Kuongeza matumizi na kutumia vizuri kile kingi kilichopo
c. Kupunguza matumizi bila kujali tunatumiaje kidogo kilichopo
d. Kuongeza matumizi bila kujali tunatumiaje hicho tunachoongeza
e. Tutumie tu bila kujali alimradi vipo vya kutumia