Mwitongo tatizo liko wapi, si wanataka wajue wewe ni mwenyeji wa wapi hasa linapotokea tatizo eidha kufia guest na mambo mengine kama hayo.
Ndugu zangu, nimekuwa nasumbuliwa sana na suala la ukabila. Ukiingia Guest House au Polisi kuna kipengele cha kuandika kabila lako. Hili jambo linaniudhi sana. Sijui wengine mna mtazamo gani?
Sioni kama kwa kuwepo na kabila unaweza kujua huyu bwana ni mwenyeji wa wapi!..mfano ukiandika msukuma wanajuaje wewe ni mwenyeji wa wapi ilhali kuna wasukuma zaidi ya mikoa mitano!Mwitongo tatizo liko wapi, si wanataka wajue wewe ni mwenyeji wa wapi hasa linapotokea tatizo eidha kufia guest na mambo mengine kama hayo.