Ni sahihi Bank kuwa wazi mpaka usiku?

majany

JF-Expert Member
Sep 30, 2008
1,223
579
Kwa ninavyofahamu B.O.T anaregulate commercial banks zoote,pia other financial institutions....hivi ni sahihi kwa banking hall kuwa wazi mpaka saa mbili usiku???Yaani huyu regulator(BOT) hana rules zinazo 'oversee' security ya mabenki???
Kwangu mie naona banking hall yabidi zifungwe kwenye muda husika uliopangwa....Hii nimeishuhudia kwa Access Bank....sidhani kama wako sahihi..
 
Sidhani kama BOT wana regulate hadi muda wa mabenki kufanya kazi, vinginevyo watakuwa wanaingilia hata uhuru wao kufanya kazi. Muhimu kwa BOT ni pesa (amana ) za watu kuwa salama. Hata hivyo wajuvi wa hii kitu watakuja kukupasha muda si mrefu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom