majany
JF-Expert Member
- Sep 30, 2008
- 1,223
- 579
Kwa ninavyofahamu B.O.T anaregulate commercial banks zoote,pia other financial institutions....hivi ni sahihi kwa banking hall kuwa wazi mpaka saa mbili usiku???Yaani huyu regulator(BOT) hana rules zinazo 'oversee' security ya mabenki???
Kwangu mie naona banking hall yabidi zifungwe kwenye muda husika uliopangwa....Hii nimeishuhudia kwa Access Bank....sidhani kama wako sahihi..
Kwangu mie naona banking hall yabidi zifungwe kwenye muda husika uliopangwa....Hii nimeishuhudia kwa Access Bank....sidhani kama wako sahihi..