Ni ripoti ya Kijinga: I really mean it...

yakhe JB WISER hakuna shaka someni ripoti yenu; acheni ya serkal; yakhe haki ya bin`adam wapi hapa duniani? Napata haki yako siku ya mauti; Ngosi kazi ya Allah sisi twarehm yeye
 
Ni utoto tu make mimi ningetegemea watupe ufafanuzi kwa nini walizuia mikutano ya siasa na wakati huo huo mikusanyiko mingine kama mechi za soka, sherehe za harusi nk vikaachwa viendelee? Kikubwa hapa nadhani wana hamu ya kupiga marufuku vyama vya upinzani na hasa cdm kufanya siasa baada ya uchaguzi, hii ni dhambi sawa tu na ubakaji.
Hivi kusema siasa zihamie bungeni maana yake nini? kwa mtizamo wangu ni kwamba kamati inataka kuiokoa ccm kwa sababu wamegundua kuwa wananchi walio wengi wanawaamini na kuwasuport chadema kuliko ilivyo kwao, ni kama wanakiri kuzidiwa majukwaani na kwahiyo wanajua mahali pekee wanapoweza kutamba kwa urahisi ni bungeni ambako ni wengi na wanahodhi maamuzi ya kipi wangependa kizungumzwe ambacho hakitishii maslahi ya chama hicho.

Naamini kabisa kamati hii ni sehemu ya maandalizi ya mkakati wa ccm kuzima nguvu za vyama vya upinzani kabla ya uchaguzi ujao, ndiyo, lengo ni hilo kwa sababu hoja ya kwamba wananchi waachwe wafanye kazi ni ya kijinga kama sio ya kipumbavu maana sijawahi kusikia wananchi wakilazishwa kuacha kazi zao ili wahudhurie mkutano wa siasa. Lakini zaidi hii mikutano inafanyika mara ngapi kwa eneo moja mpaka ifikie mahala tukasema inaathiri shughuli za wananchi? Au ndo haya aliyosema wassira kwamba chadema haitafika 2015? yangu macho!

hata FIESTA iliachwa iendelee...
Shame...
 
Soma Report ya tume ya haki za binadamu uthibitishe ukweli uliokuwa unaujua toka mwanzo. Hii kamati ya kushauri kusiwe na mikutano baada ya uchaguzi achana nayo. Yani lengo ni kifo cha mwangosi, what, why, how na who ndo yalikuwa maswali ya kupatiwa majibu, lkn kutoka hadidu za rejea mpaka findings mi naona ushuuuzi tu.
 
Back
Top Bottom