white wizard
JF-Expert Member
- May 18, 2011
- 8,314
- 13,279
jamani kuuliza sio vibaya,nimepita hii mitaa ya bank kuu ya tanzania(BOT)nikielekea ocean road,nimekuta njia imefungwa kuna polisi kama 30!wenye siraha,huku kuna malori kama 6 yenye makontena yanaingia BOT!na kwa kweli kama utatokea uvamizi hapa balaa yake sio ndogo,ndio maana ikabidi nibadilishe njia mapema,kwani hawachelewi kukwambia taarifa za kintelijensia zinakushuku wewe!!sasa zile ni pesa au dhahabu au nini?na mbona malori yenyewe yamechoka choka sana?