M4C ARUSHA
Member
- Apr 27, 2012
- 38
- 4
Chama kikuu cha ushirika mkoani Kilimanjaro KNCU sasa kimekuwa katika hali mbaya ya kiuchumi hali kadhalika na kiutendaji hali inayokipelekea chama hicho kikongwe shimoni.
Hali hiyo inatokana na mwenyekiti wa bodi ya chama hicho mernad swai kuendesha chama hicho mithili ya familia yenye watoto wachache
Mfano hai ni mwenyekiti huyo kujidhinishia kiasi kikubwa cha pesa bila kuweka bayana matumzi yake huku akigoma kuweka saini yake kama taratibu za fedha zinavyotakiwa
Baada ya kuona watendaji wanataka kufuata miongozo ameanza kutengeneza zengwe na watumishi huku akitaka bodi iwafukuze ili aweze kubaki na wale wanaomtii ili iwe fursa pekee ya kukwapua mali za kncu
Mwenyekiti huyu tangu aingie KNCU amekuwa akiondoa watumishi hali iliyopelekea osi kuwa na kaimu zaidi ya miaka mitatu huku watu wenye taaluma zao wakipakimbia kuogopa kufungwa kutokana na amri za mwenyekiti huyo
Taarifa za ndani zinaeleeza kuwa mwenyekiti huyo amekuwa akidai kuwa hawezi kufanywa lolote na uongozi wa nchii kwa kuwa yeye ana mtandao hivyo ni mtu wa systeam
Tarifanyingine ianeleza kuwa waziri wa chakula kilimo na ushirika Christopher chiza alikatazwa na systeam kuja katika ziara yake ya kikazi KNCU kwa madai kuwa ni sawa na kuja kupalilia uovu.
Hali hiyo inatokana na mwenyekiti wa bodi ya chama hicho mernad swai kuendesha chama hicho mithili ya familia yenye watoto wachache
Mfano hai ni mwenyekiti huyo kujidhinishia kiasi kikubwa cha pesa bila kuweka bayana matumzi yake huku akigoma kuweka saini yake kama taratibu za fedha zinavyotakiwa
Baada ya kuona watendaji wanataka kufuata miongozo ameanza kutengeneza zengwe na watumishi huku akitaka bodi iwafukuze ili aweze kubaki na wale wanaomtii ili iwe fursa pekee ya kukwapua mali za kncu
Mwenyekiti huyu tangu aingie KNCU amekuwa akiondoa watumishi hali iliyopelekea osi kuwa na kaimu zaidi ya miaka mitatu huku watu wenye taaluma zao wakipakimbia kuogopa kufungwa kutokana na amri za mwenyekiti huyo
Taarifa za ndani zinaeleeza kuwa mwenyekiti huyo amekuwa akidai kuwa hawezi kufanywa lolote na uongozi wa nchii kwa kuwa yeye ana mtandao hivyo ni mtu wa systeam
Tarifanyingine ianeleza kuwa waziri wa chakula kilimo na ushirika Christopher chiza alikatazwa na systeam kuja katika ziara yake ya kikazi KNCU kwa madai kuwa ni sawa na kuja kupalilia uovu.