Atakuwa paka jike yupo kwenye heat na hana paka dume wa kumshuhulikia. Tfuta paka dume ikifika mida hiyo mtoe nnje. watamalizana then hutamsikia tena akipiga myau miau dirishani kwako.
Akirudi tena baada ya kushughulikiwa na dume basi sali sana na umwagie dirisha lako maji ya baraka au chumvi yanapatikana kanisani.
Wadau leo ni siku ya 3 mfululizo kila inapofika mida kama tisa ya usiku, katika dirisha ninalolala huwa anakuja paka na kuanza kulia kwa milio ya ajabu sana, sauti huwa anaibadilisha badilisha, inakuwa kama ya mtu mzima mara kama ya mtoto na ya ajabu,.
Kuna jamaa 1 nimemuuliza akaniambia huyo si paka ni jini...wadau eti kuna ukweli wowote? Na nichukue hatua gani