Ni Nini Wanaume Wanataka Toka Kwa Wanawake?

Si mimi ninayesema. Ni Scientific Research. Wanaume ni Cheaters zaidi kuliko Wanawake.

Kwahiyo Mkuu, Kutokana na hii argument yako hapa naomba kuunganisha na ile argument yako ya kule kwamba HAKUNA LOVE BILA TRUST therefore kutoka kwenye evidence zako na research yako CONCLUSION ni kwamba HAKUNA LOVE... au kama sivyo you must believe one and not the other sababu ni impossible kuamini vyote.

To put it Simply Evidence zako zinakufunga mwenyewe...
 
Hizi zote ni "nadharia" tu na zinakubalika, lakini unapokuja wakati wa vitendo, wakati wa ukweli, binadamu (mwanamume/Mwanamke), anahitaji mapenzi kuridhika; na husahau nadharia zote kwa sababu "uzuri uko katika macho ya mtazamaji".

Kwa maumbile yake, neno mapenzi lina tafsiri nyingi kutegemea na mtu. Mke/mume anaweza kuwa mbaya (wa sura na tabia, laghai, macho ya nje nk), lakini anayependa akawa haoni yote hayo; na hata marafiki/wanafamilia wakimwambia, yeye haoni wala hasikii, kinyume chake anaweza kutafsiri kuwa ni choyo tu. Kwa sababu ya kupenda, wanaweza kujua watu wote anayofanya mwanandoa/ mwanauhusiano, lakini mhusika mkuu akawa wa mwisho kujua.

Ni watu wachache sana ambao huamka mapema wanapogundua kuwa lile walilokuwa wanalitarajia katika mahusiano halipatikani, na sio kwa sababu halipo bali huwa hawakuridhika.

Kwa ufupi na kwa maoni yangu binafsi, mwanamume/mwanamke anahitaji kuridhika na hali aliyonayo. Akiridhika, uhusiano utadumu, asiporidhika kazi kwisha.
 
Kwahiyo Mkuu, Kutokana na hii argument yako hapa naomba kuunganisha na ile argument yako ya kule kwamba HAKUNA LOVE BILA TRUST therefore kutoka kwenye evidence zako na research yako CONCLUSION ni kwamba HAKUNA LOVE... au kama sivyo you must believe one and not the other sababu ni impossible kuamini vyote.

To put it Simply Evidence zako zinakufunga mwenyewe...

Kiongozi VoR;

Wajibu wangu ninaopendelea katika JF ni kuchokoza maada na kukusanya facts na "Sababu Za Kiiteligensia" ili kuchochea kufikiri na michango itolewe.

Binafsi arguments nilizozitoa zinamebase kwenye Internet Research from reputable researchers; experience yetu ya maisha ya ndugu, jamaa na marafiki tunaowafahamu na kwa hapa JF ukiangalia thread hii ndo utagundua kuwa si mchezo: https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/102386-wanaume-nisaidieni.html.

Bado ninaamini kuna exceptional cases ambazo hazifit katika research hizi.

Lakini Mkuu, tutafungu thread inayoelezea mapenzi ni nini hasa. Na Trust ni nini hasa ili tuwe na uhakika zaidi. Ila si vema haya masuala kuyaangalia kinadharia bali kivitendo.

Binadamu tuna mapungufu mengi na utashi tofauti, we are never perfect na ndo maana kuna dhambi. Malaika Mkuu anaitwa LUCIFER enzi hizo akiwa mbinguni mahali ambapo ni patakatifu sana na bila dhambi, akiwa karibu sana na Mungu na akiwa ni Kiongozi wa Malaika wote na privilages nyingi sana mbinguni, bado katika hali ile alitenda dhambi kutoka within himself: Wivu; Kiburi, majivuno nk na hatimaye akaanguka.

Ni nini wanadamu katika dunia hii yenye dhambi? Kama si Neema ya Mungu ni nani angesimama?

Facts are facts and sometimes are hard to swallow.

Much Respect VoR!
 
Hizi zote ni "nadharia" tu na zinakubalika, lakini unapokuja wakati wa vitendo, wakati wa ukweli, binadamu (mwanamume/Mwanamke), anahitaji mapenzi kuridhika; na husahau nadharia zote kwa sababu "uzuri uko katika macho ya mtazamaji".

Kwa maumbile yake, neno mapenzi lina tafsiri nyingi kutegemea na mtu. Mke/mume anaweza kuwa mbaya (wa sura na tabia, laghai, macho ya nje nk), lakini anayependa akawa haoni yote hayo; na hata marafiki/wanafamilia wakimwambia, yeye haoni wala hasikii, kinyume chake anaweza kutafsiri kuwa ni choyo tu. Kwa sababu ya kupenda, wanaweza kujua watu wote anayofanya mwanandoa/ mwanauhusiano, lakini mhusika mkuu akawa wa mwisho kujua.

Ni watu wachache sana ambao huamka mapema wanapogundua kuwa lile walilokuwa wanalitarajia katika mahusiano halipatikani, na sio kwa sababu halipo bali huwa hawakuridhika.

Kwa ufupi na kwa maoni yangu binafsi, mwanamume/mwanamke anahitaji kuridhika na hali aliyonayo. Akiridhika, uhusiano utadumu, asiporidhika kazi kwisha.

Mama Mia nakubaliana na wewe . . .

Only kwamba sababu zilizotolewa hapo nyingi si za kinadharia, they are hard facts.

Respect.
 
Mimi kama mwanaume sipendi wanawake wanaoendekeza u-Beijing kupita kiasi, eti zamu zamu kufua na kupika na mambo kama hayo( wimbo wa haki sawa unazidi ndani ya nyumba), na nashukuru Mungu alilijua hilo amenipa mke wa aina hiyo asiye na u-beijing wa kupindukia (labda kama atabadilika baadaye na siombei), na mimi naepuka mfumo dume kupita kiasi

Ndani ya nyumba hakuna kupangiana zamu Chapa Nalo Jr, unamsaidia tu mkeo kwa upendo, siyo sababu wewe ndo baba basi hata siku moja humsaidii mkeo kutandika kitanda au kufua!!!!!!!!!!!!!!!! ni mapenzi tuuuuuuuuuuuuuuu
 
Ndani ya nyumba hakuna kupangiana zamu Chapa Nalo Jr, unamsaidia tu mkeo kwa upendo, siyo sababu wewe ndo baba basi hata siku moja humsaidii mkeo kutandika kitanda au kufua!!!!!!!!!!!!!!!! ni mapenzi tuuuuuuuuuuuuuuu

FP . . . LOL

Na wale ambao hata kitanda hawatandiki achilia kufua badala yake anafanga House Helper, hawa nao imekaaje? Utafiti unaonyesha wako wengi sana.
 
Tuko pamoja Mkuu.

Kuna sehemu ilikuwa inasema GREAT MEN wanatambua kuwa INFIDELITY ni sehemu muhimu sana (INGREDIENT) katika kudumisha mahusiano na wenzi wao. Hili lina debate sana. lakini utafit unaonyesha kuwa ndoa au mahusiani mengi yenye mafanikio makubwa wanaume wamekuwa wana extra affairs.


Ushauri ni vema wanawake wakae wakijua wakati wanapambana nalo.

Mkuu hilo si kweli, mapenzi yahivyo huvunjika mapema.
 
More facts:

Facts and Statistics About Infidelity

Given the secretive nature of infidelity, exact figures about cheating and extra-marital affairs are nearly impossible to establish. But, listed below are some of the most well-supported facts about cheating. All cited sources can be found on our reference page.

  1. It is estimated that roughly 30 to 60% of all married individuals (in the United States) will engage in infidelity at some point during their marriage (see, Buss and Shackelford for review of this research). And these numbers are probably on the conservative side, when you consider that close to half of all marriages end in divorce (people are more likely to stray as relationships fall apart; also see, who is likely to cheat).
  2. Research consistently shows that 2 to 3% of all children are the product of infidelity (see, Anderson). And most of these children are unknowingly raised by men who are not their biological fathers. DNA testing is finally making it easy for people to check the paternity of their children (see, paternity issues).
  3. Infidelity is becoming more common among people under 30. Many experts believe this increase in cheating is due to greater opportunity (time spent away from a spouse) and young people developing the habit of having multiple sexual partners before they get married (see, young and restless - Wall Street Journal).
  4. There are no definitive "signs of cheating." But, in hindsight you will always find them (see, signs of infidelity).
  5. Some cultures have adopted extreme measures to combat infidelity: female circumcision, allowing only limited contact between the sexes, and death as a punishment. While many other cultures view infidelity as more of a nuance, not a serious marital problem (see, cultural perspectives - Msn).
  6. Men are more likely to cheat than women. But, as women become more financially independent, women are starting to act more like men with respect to infidelity (also see, cheating wives and cheating husbands).
  7. In many cases, infidelity never gets discovered (see, cheating spouse quiz).
  8. Emotionally, it is possible to have feelings for more than one person at a time. Pragmatically, loving more than one person is difficult to do (see, polyamory - Truth, Lies, and Romance Blog).
  9. As more and more women enter the work force, "office romances" are becoming more common. Spouses often spend more time with coworkers than with each other.
  10. The internet, e-mail, and chat rooms are making it easier for people to engage in infidelity (see, online cheating).
  11. The initial decision to be unfaithful is rarely ever a rational choice; instead infidelity is usually driven by circumstances and one's emotions. In fact, most people are surprised by their own behavior at the start of an affair (see, decision to cheat).
  12. Emotional infidelity, compared to just physical infidelity, can inflict as much, if not more, hurt, pain and suffering. And to make matters worse, most infidelity involves both physical and emotional betrayal (see, what counts as cheating).
  13. Unfortunately, many people find a more suitable mate (someone they love more than their spouse) after they are already married.
  14. Biological evidence (i.e., research on biology and reproduction) indicates that long-term monogamy is difficult for humans to achieve - NOT impossible, but difficult (see, Barash and Lipton or the myth of monogamy - Salon.com).
  15. Almost everyone admits to having fantasies that involve someone other than a spouse (see, Hicks and Leitenberg).
  16. Jealousy is such a fundamental, universal emotion because infidelity has been a part of our human nature for a very long time (see, Buss).

Haya bwana.
 
Kiongozi VoR;

Facts are facts and sometimes are hard to swallow.

Much Respect VoR!
Kweli Mkuu Facts are Facts na kwenye hii Topic hapa ni vigumu to go against it lakini nilikuwa ninakukumbusha kule kwenye TRUST and LOVE I very much doubt kama you can have enough facts...

Na point kwenye hii post niliyoichomoa ni kwamba men are cheaters, lakini mimi ninakwenda another level ninakwambia kwamba watu wote wana tamaa, lakini if you think about the concequences we have the power ya kujizuia. Human beings are weak thats the bottom line, the trick is to know your weakness na kuifanyia kazi ili isikutoe kwenye line...
Respect.
 
10. wanaume wanahitaji Appreciation and praise wanapofanya mazuri kwa wenzi wao au katika shughuri na mambo yeyote.
 
FP . . . LOL

Na wale ambao hata kitanda hawatandiki achilia kufua badala yake anafanga House Helper, hawa nao imekaaje? Utafiti unaonyesha wako wengi sana.

Unasema hao tu?? kuna wengine hata wakienda kunya hawamwagii maji au kuflush kama maji yanatoka na kutupa maboxer yao yafuliwe lol?? halafu kama huyu nae bado anakucheat bado uchukulie ni kawaida. unafikiri huyo dem nae ungekuwa unamfanyia unayofanya home angekuwa anakupokea kila siku kwa mikono miwili? lloooo machupi mazitoooo mtu anataka umfulie
 
Back
Top Bottom