Ni nini tafsiri ya kuachiwa kwa washukiwa wa vurugu za kidini Mwanza?

Calnde

JF-Expert Member
Oct 7, 2008
1,373
277
Juzi zimetokea fujo na vurugu za kidini mwanza. Wameshikiliwa watu kadhaa kwa fujo hizo. Cha ajabu watu hao wakaachiwa baada ya

mazungumzo baina ya kamati ulinzi na usalama na BAKWATA Mwanza. Tatizo si kuachiwa kwao, bali sababu. . kwamba 'ni kuhakikisha

tunaweka mambo sawa na kuhakikisha amani na usalama'.

My take:
1. Sidhani kama ni utaratibu mzuri kuwaachia watuhumiwa kwa sababu za kulinda amani. Watuhumiwa waachiwe ikiwa tuu hawana makosa kwa

kuthibitishwa na mahakama kama katiba yetu inavyotaka. Ikiwa wakristo watafanya maandamano na fujo kuwatetea hao wachoma kuran, hao

watuhumiwa wataachiwa ili kulinda amani?

2. Kwanini maamuzi kama hayo hayafanywi Arusha ambako amani iko mashakani kila kukicha? Tutafsiri vipi maamuzi ya namna hii? Si ni polisi

hao hao wanahusika. Tanzania should strive to avoid double standards kwa kweli.
 
Juzi zimetokea fujo na vurugu za kidini mwanza. Wameshikiliwa watu kadhaa kwa fujo hizo. Cha ajabu watu hao wakaachiwa baada ya

mazungumzo baina ya kamati ulinzi na usalama na BAKWATA Mwanza. Tatizo si kuachiwa kwao, bali sababu. . kwamba 'ni kuhakikisha

tunaweka mambo sawa na kuhakikisha amani na usalama'.

My take:
1. Sidhani kama ni utaratibu mzuri kuwaachia watuhumiwa kwa sababu za kulinda amani. Watuhumiwa waachiwe ikiwa tuu hawana makosa kwa

kuthibitishwa na mahakama kama katiba yetu inavyotaka. Ikiwa wakristo watafanya maandamano na fujo kuwatetea hao wachoma kuran, hao

watuhumiwa wataachiwa ili kulinda amani?

2. Kwanini maamuzi kama hayo hayafanywi Arusha ambako amani iko mashakani kila kukicha? Tutafsiri vipi maamuzi ya namna hii? Si ni polisi

hao hao wanahusika. Tanzania should strive to avoid double standards kwa kweli.

Jiulize raisi, makamu wake, raisi wa nchi jirani ya zanzibar na makamu wake, waziri wa ulinzi, waziri wa mambo ya ndani, mkuu wa jeshi la polisi, mnadhimu mkuu wa jeshi la ulinzi nk nk ni akina nani? ukilijua hilo ndo ujue hatari inayowakabili wale wanaotofautiana nao kiimani.
 
Juzi zimetokea fujo na vurugu za kidini mwanza. Wameshikiliwa watu kadhaa kwa fujo hizo. Cha ajabu watu hao wakaachiwa baada ya

mazungumzo baina ya kamati ulinzi na usalama na BAKWATA Mwanza. Tatizo si kuachiwa kwao, bali sababu. . kwamba 'ni kuhakikisha

tunaweka mambo sawa na kuhakikisha amani na usalama'.

My take:
1. Sidhani kama ni utaratibu mzuri kuwaachia watuhumiwa kwa sababu za kulinda amani. Watuhumiwa waachiwe ikiwa tuu hawana makosa kwa

kuthibitishwa na mahakama kama katiba yetu inavyotaka. Ikiwa wakristo watafanya maandamano na fujo kuwatetea hao wachoma kuran, hao

watuhumiwa wataachiwa ili kulinda amani?

2. Kwanini maamuzi kama hayo hayafanywi Arusha ambako amani iko mashakani kila kukicha? Tutafsiri vipi maamuzi ya namna hii? Si ni polisi

hao hao wanahusika. Tanzania should strive to avoid double standards kwa kweli.

Kwa kuanzia hakuna mtu aliyechoma kuran. Ni kuwa walichoma karatasi yenye kaaba na wasichana 2 wakiwa wamejishika mikono katika kuiabudu. Walichoma kwa sababu mama waliyemwombea akatokwa na majini alidai karatasi hiyo inamyima amani. Ilichomwa pamoja na hirizi zilizokuwa zimetolewa na mganga. Basi hasira ni kuwa kwa nini akakubali kuombewa na makafiri? Na majini hayo "matakatifu" yakanyimwa haki yake ya makao.

Hao waliwekwa ndani muda mrefu tu. Kisa eti wametuhumiwa kuchoma kkurani. waliochoma makanisa 3 baada ya hapo kama kitendo cha kulipiza kisasi wao hawakukamatwa!! Je hii si double standard?
 
Wakristo wakikamatwa watasota ndani mpaka mahakama itakavyo amuru kwa waislamu kunakuwa na Muafaka.
Serikali yetu Ina Ubaguzi wa kidini kisrisiri na inawapendelea waislamu hata Kama wamevunja sheria.
 
sioni tatizo kama wameachiwa kwa maslahi ya nchi ndio maana hata wafungwa hupewa msamaha
 
udini ukikukolea kila jambo unalielewa vibaya ni kwa sababu una mawazo ya kidini
 
Juzi zimetokea fujo na vurugu za kidini mwanza. Wameshikiliwa watu kadhaa kwa fujo hizo. Cha ajabu watu hao wakaachiwa baada ya

mazungumzo baina ya kamati ulinzi na usalama na BAKWATA Mwanza. Tatizo si kuachiwa kwao, bali sababu. . kwamba 'ni kuhakikisha

tunaweka mambo sawa na kuhakikisha amani na usalama'.

My take:
1. Sidhani kama ni utaratibu mzuri kuwaachia watuhumiwa kwa sababu za kulinda amani. Watuhumiwa waachiwe ikiwa tuu hawana makosa kwa

kuthibitishwa na mahakama kama katiba yetu inavyotaka. Ikiwa wakristo watafanya maandamano na fujo kuwatetea hao wachoma kuran, hao

watuhumiwa wataachiwa ili kulinda amani?

2. Kwanini maamuzi kama hayo hayafanywi Arusha ambako amani iko mashakani kila kukicha? Tutafsiri vipi maamuzi ya namna hii? Si ni polisi

hao hao wanahusika. Tanzania should strive to avoid double standards kwa kweli.
Hujaeleweka mkuu unataka kusema nini?
 
hakuna jambo la maana linaloliona kwenye post yako zaidi ya kutudodosa imani zetu na kufurahia jinsi tutakavyovutana kuhusu suala hilo
 
Kwa kuanzia hakuna mtu aliyechoma kuran. Ni kuwa walichoma karatasi yenye kaaba na wasichana 2 wakiwa wamejishika mikono katika kuiabudu. Walichoma kwa sababu mama waliyemwombea akatokwa na majini alidai karatasi hiyo inamyima amani. Ilichomwa pamoja na hirizi zilizokuwa zimetolewa na mganga. Basi hasira ni kuwa kwa nini akakubali kuombewa na makafiri? Na majini hayo "matakatifu" yakanyimwa haki yake ya makao.

Hao waliwekwa ndani muda mrefu tu. Kisa eti wametuhumiwa kuchoma kkurani. waliochoma makanisa 3 baada ya hapo kama kitendo cha kulipiza kisasi wao hawakukamatwa!! Je hii si double standard?

Hapo ndipo hatari ilipo. Maana kama mahakama itaona kosa hilo la kuchomwa kurani halitathibitika maana yake wataachiwa huru. Then u can guess

what next! Maana kama kuahirishwa kwa kesi thats what happening, vipi wakiachiwa huru? and somebody with emotions will say ni mtizamo wa

kidini. We have to go to the substance of the matter.
 
udini ukikukolea kila jambo unalielewa vibaya ni kwa sababu una mawazo ya kidini

its so simple to allege something kama huna point. Hebu nieleze wewe ulivyoelewa maamuzi hayo nje ya context ya udini?
 
hakuna jambo la maana linaloliona kwenye post yako zaidi ya kutudodosa imani zetu na kufurahia jinsi tutakavyovutana kuhusu suala hilo

You have an option to opt in or out. If u think its religious, have a nice evening! If u think there is something concrete especially on our criminal

justice system u can leave ur comments
 
kama hatua hiyo imeepusha vurugu hata kama hukupendezwa nayo kwa jamii nzima ni hatua njema kwa afya ya taifa letu
 
kumbukumbu za kisheria na kimahakama zinaonyesha vipi kama si watuhumiwa wa kwanza nchini kuachiwa kwa mtindo huo hakuna tatizo
 
Jiulize raisi, makamu wake, raisi wa nchi jirani ya zanzibar na makamu wake, waziri wa ulinzi, waziri wa mambo ya ndani, mkuu wa jeshi la polisi, mnadhimu mkuu wa jeshi la ulinzi nk nk ni akina nani? ukilijua hilo ndo ujue hatari inayowakabili wale wanaotofautiana nao kiimani.

Ongezea - Mkuu wa usalama wa taifa
 
Juzi zimetokea fujo na vurugu za kidini mwanza. Wameshikiliwa watu kadhaa kwa fujo hizo. Cha ajabu watu hao wakaachiwa baada ya

mazungumzo baina ya kamati ulinzi na usalama na BAKWATA Mwanza. Tatizo si kuachiwa kwao, bali sababu. . kwamba 'ni kuhakikisha

tunaweka mambo sawa na kuhakikisha amani na usalama'.

My take:
1. Sidhani kama ni utaratibu mzuri kuwaachia watuhumiwa kwa sababu za kulinda amani. Watuhumiwa waachiwe ikiwa tuu hawana makosa kwa

kuthibitishwa na mahakama kama katiba yetu inavyotaka. Ikiwa wakristo watafanya maandamano na fujo kuwatetea hao wachoma kuran, hao

watuhumiwa wataachiwa ili kulinda amani?

2. Kwanini maamuzi kama hayo hayafanywi Arusha ambako amani iko mashakani kila kukicha? Tutafsiri vipi maamuzi ya namna hii? Si ni polisi

hao hao wanahusika. Tanzania should strive to avoid double standards kwa kweli.

Kwa hiyo wewe ulitaka hao washukiwa na watuhumiwa wanyongwe ili wewe na wenzio wenye chuki za kipuuzi dhidi ya dini msizoziamini mfanye sherehe sio?
 
Hapo ndipo hatari ilipo. Maana kama mahakama itaona kosa hilo la kuchomwa kurani halitathibitika maana yake wataachiwa huru. Then u can guess

what next! Maana kama kuahirishwa kwa kesi thats what happening, vipi wakiachiwa huru? and somebody with emotions will say ni mtizamo wa

kidini. We have to go to the substance of the matter.

Hapo nadhani itabidi hao watuhumiwa wafungwe tu ili kuokoa maisha yao.
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom