Umefika wakati sasa kwa wabunge kuliweka mezani swala la tofauti za mishahara ya watumishi wa serikali, hapa namaanisha mshahara wa mtumishi wa TRA, TANAPA,BOT una tofauti kubwa sana na mishahara ya watumishi wa halmashauri,walimu na idara nyingine kama kilimo na hii tofauti ni kubwa hata kama mna viwango sawa vya elimu............................mimi naamini kuwa serika li ikiweza kuweka uwiano hata malalamiko yatapungua.Kwa nini ibara ya 23 ya katika inakiukwa? ..............kila mtu anapaswa kupata ujira unaolingana na kazi anayofanya.