nkyandwale
Member
- Feb 8, 2011
- 64
- 14
Naamini tumekuwa weledi katika historia ya lugha ya kiswahili, Je, nini mchango wa lugha hiyo katika suala la umoja wa kitaifa ? Hususan katika muda wa miaka hamsini ya uhuru wa Watanganyika na Watanzania kwa ujumla?