swooping breast)
Thanks Allien..somo zuri mkuu!!
kuna wachina maeneo ya sinza wana machine maalum ya kusimamisha matiti unaweza kwenda kupatiwa huduma,
We acha tu angekuwa the proper Baby Angel.
Sura baby face, no chunusi mzuri wa haja
Umbo namba 8
Urefu 170-180 cm
Mguu chpa ya bia. No makovu
Kiuno cha nyigu
Chuchu Standard au Grade 1
Chini ya mgongo, standard
chini ya shingo au kifuani pamejaza standard size (siyo viroba au malapa)
mengine nisaidie . . .
Wewe ni He au She? Unaweza kuweka ya wanaume?[/QUO
she wa ukweli haswa sina ila niko kwenye mchakato wa kutafuta hahahahha
Umeona eeh, siyo unatoka out, binti anavaa maksi au suruali. Inaogopa kupiga kimini kwa kuwa miguu ina walakini.
Tena toka yenyewe ya usiku na mkifika kunako majamboz anataka taa izimwe muda wote agrrrrrrrrrrrrrrh
ha ha haaa!.i like it
kwani, kwa nini mtu huwa analala?
Tukishapata jibu hili twaweza endelea na la matiti
We acha tu angekuwa the proper Baby Angel.
Sura baby face, no chunusi mzuri wa haja
Umbo namba 8
Urefu 170-180 cm
Mguu chpa ya bia. No makovu
Kiuno cha nyigu
Chuchu Standard au Grade 1
Chini ya mgongo, standard
chini ya shingo au kifuani pamejaza standard size (siyo viroba au malapa)
mengine nisaidie . . .
Ni uzoefu tu wa hawa dada zetu. Wale wenye titz grade 3 au mbofu mbofu wako radhi uone K lakini si Titiz kisa malapa.
kwani, kwa nini mtu huwa analala?
Tukishapata jibu hili twaweza endelea na la matiti
Ha ha ha ha haaaa! Best angu Allien umesahau kitu cha muhimu kuliko vyote, unatakiwa kumuwekea genes za kutokuzeeka. Yaani ukishamtengeneza kama ni wa 25 years old anabaki hivyo hivyo for the rest of her life ili matiti na ngozi visijesinyaa! Hata akizaa vitoto 10 hanenepi wala nini. Anabaki kuwa baby angel wa ukweli!
bora umwambie kwenye avatar yake anaonekana ni mzee ila kila siku ni wadada tu anahaingaika nao halafu sio sie wamatumbi anataka wale black america wale wanaojua kupaka tan,lol na kufanya maplastic surgery...mzee Allien is time uwe real bwana...