Mbona sasa watu wote wanaoonekana wa akili zao wanaugua magonjwa ya ghafla? Au ni mgonjwa siku nyingi? Maana ukweli pekee ndio utakaotuweka huru. Sio hawa maopportunist waliojaa kila angle siku hiziTaarifa za ndani zinasema Chami ni moja ya Kifaa alichoachiwa JK na Mkapa lakini ameshindwa kukitumia ipasavyo kama alivyokua akikitumia Mkapa.
Chami huyu ndie aliyepiga mahesabu ya Ajira Milioni Moja kwenye uchaguzi wa 2005 na jinsi ya kupatikana kwake lakini kwa kua ndani ya CCM ya JK hakuna kusikilizana, basi mambo ndo yakawa vile mlivyosikia ajira za kufungua vizibo na kusukuma mikokoteni.
Dr Chami ndie aliyekua akiandaa hotuba za kiuchumi za Mkapa kwenye mikutano ya kimataifa na hata mipango mingine ya kiuchuni hapa nyumbani aliyokua akifanya Ben Mkapa origini yake ni huyu huyu Chami.
Mkapa alimuamini kwani aliambiwa fika na maprofesa wa chuo alichokua anasoma huyu Chami uko Canada kuwa ni mtu muhimu kwa kudrive uchumi na kama Mkapa asipomtumia basi wao wangemtumia Canada.
Kwa bahati Mbaya siasa za CCM ya leo ni za makundi na ndio maana Mchumi huyu anaonekana si chochote wala lolote.
Anatia huruma sana, amebadilika, kweli anatakiwa apumzike na ashughulikie zaidi afya yake! Nilimwona pia!The guy is not fit,I saw him on Tv kwa kweli need time to take care of his health not politics.
vipi anakuwa kama Dr MakyembeAnatia huruma sana, amebadilika, kweli anatakiwa apumzike na ashughulikie zaidi afya yake! Nilimwona pia!
Ee mwenyezi mungu wamalize wale wote walioiba kura za wanyonge ktk uchaguzi wa 2010.
alitoa taarifa hiyo kwa njia gani..??
Hauwezi hata kama wangeunganishwa 5
afya yake je?
sasa mlitaka aseme bado anaumwa? Hata mrema ukimuuliza leo atakwambia afya yake ni 100%!!!
Sasa naye kwanini aliacha kazi yake akakimbilia ubunge ?huko alikokuwa si kulitosha ku drive huo uchumi?Taarifa za ndani zinasema Chami ni moja ya Kifaa alichoachiwa JK na Mkapa lakini ameshindwa kukitumia ipasavyo kama alivyokua akikitumia Mkapa.
Chami huyu ndie aliyepiga mahesabu ya Ajira Milioni Moja kwenye uchaguzi wa 2005 na jinsi ya kupatikana kwake lakini kwa kua ndani ya CCM ya JK hakuna kusikilizana, basi mambo ndo yakawa vile mlivyosikia ajira za kufungua vizibo na kusukuma mikokoteni.
Dr Chami ndie aliyekua akiandaa hotuba za kiuchumi za Mkapa kwenye mikutano ya kimataifa na hata mipango mingine ya kiuchuni hapa nyumbani aliyokua akifanya Ben Mkapa origini yake ni huyu huyu Chami.
Mkapa alimuamini kwani aliambiwa fika na maprofesa wa chuo alichokua anasoma huyu Chami uko Canada kuwa ni mtu muhimu kwa kudrive uchumi na kama Mkapa asipomtumia basi wao wangemtumia Canada.
Kwa bahati Mbaya siasa za CCM ya leo ni za makundi na ndio maana Mchumi huyu anaonekana si chochote wala lolote.
S
Tunaomba dua lako liwe la kheri bana!! huyo dogo ni jembe la ukweli na ninamwaaminia. kama Mugabe na utu uzima wake ameweza KUIONGOZA ZIMBABWE hakika huyu akibeba bendera ya CCM mambo yatakuwa poa sana Hata kama ni mgonjwa. Jingine ni kwamba huyu dogo anawanyima raha mafisadi wa ccm ile mbaya kwa sababu hana kitu pamoja na kufanya kazi DARUSO, MAGOGONI na MJENGONI miaka Kibao dogo hana hata gari binafsi ya kutembelea. kama mnabisha mwenye data azimwage hapa HUU NDIO MWARUBAINI WA MAFISADI NA SIYO HAO WANAOPIGA KELELE USIKU NA MCHANA