Ezekiel Kamwaga. Ni yule mwandishi mahiri wa gazeti la Mwanahalisi ambaye hapa majuzi imeripotiwa kwamba ameajiriwa kama Afisa Habari wa Klabu ya Simba. Mwandishi huyu amesitisha ajira yake katika Gazeti hili huku kukiwa na maswali juu ya sababu halisi za kuondoka kwake. Wako wanaomshutumu Kubenea kwa kujenga mazingira ya kuondoka kwa Kamwaga lakini kuna wale ambao wanadai Kamwaga alikuwa ameshaanza 'kuchafuliwa'.
Je, kilichomuondoa Kamwaga Mwanahalisi ni nini?
Je, kilichomuondoa Kamwaga Mwanahalisi ni nini?